Mpekuzi Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 588
- 911
Tarehe 2 Machi 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan alikutana na Viongozi Wakuu wa Madhehebu mbalimbali ya Dini, Uwakilishi wa Kanisa Katoliki haukuwa wa hadhi ya Kikao cha Mkuu wa Nchi.
Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri?
Mufti wa BAKWATA alikuwepo, Askofu Dkt Shoo wa KKKT alikuwepo. Kulikoni kanisani hata Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam alishindwa kwenda kuwakilisha na kumtuma Padri?