Hiki kitu atuwezi kukiapply tz coz ni kigumu kwaio diploma aina kazi tena na sio qualifications ya kwenda bachelor na wale wanaopitia bodi za kitaaluma nao pia awaendi masters coz awana bachelor au
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena ni waongo sana wanajua kabisa uwezi chomoka ila wanawashauri vijana
Ni bora mwenye d 4 aende certificate march in take atakuja kusoma na wenzake degree
Sent using Jamii Forums mobile app
D 4 kwa certificate yoyote tz ila wanaosema D 1 au 2 wanakushauri unasoma certificate huku una risit na mara nyingi wanashindwa kutoka na ada zao zimepotea na kwa sasa kama una D 4 form 4 wewe kalime au kalisit akuna namna
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe inawezekanaje uwe na F 6 alafu C moja udahiliwe kuchukua certificate hadi diploma na umepata GPA ya 3.4 au umekosea typing maana lazima uwe na credit 3 au kwa sasa 4
Nimewaelewa wadau wote mliotoa mawazo yenu. Maana huku wanafunzi wanasoma kwa hofu wanamaliza diploma 2 next month alafu tetezi zinasema awaingii sababu wanatakiwa wasome 3 yrs wao wamesoma 3 yrs ila tutasubili wakat wa udahili Mwezi July inakuwaje iyo inshu.
Habari wadau. Naomba niulize kuna taarifa zinazagaa vyuoni. Kwa wale waliomaliza form 4 mwaka 2015 na kujiunga na March intake 2016 hawataruhusiwa kuingia bachelor mwaka 2018/2019 .Naomba majibu kwa anaejua
Dada umeongea hadi Mwili umesisimka nimepitia kila mstari kweli tunatakiwa tuamue nini taifa kinataka Mr President aamue atume chombo maalum kwa kufatilia aya yanayotokea ili tuzidi kuwa na imani na serikali yake
GPA 5 wewe ni John Kisamo Sana Ila First Class kuipata kawaida ata ya 4.6 japo nazo ni ngumu uwe ume make opportunity cost sana mostly social activities
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.