Golden felician
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 216
- 36
Kweli only GOD can DOKama hukusoma miaka miwili hakuna kusubiria maajabu hasa kwa PCB na PCM..but Mungu ni wakumtanguliza
Kweli only GOD can DOKama hukusoma miaka miwili hakuna kusubiria maajabu hasa kwa PCB na PCM..but Mungu ni wakumtanguliza
Tabora boys kama kawaida yetu msituangushe [HASHTAG]#The[/HASHTAG] head of TanzaniaWanafunzi wa form 6 wanatarajia kuanza mitihani yao ya taifa kuanzia juma tatu.Mungu awasaidie wapate kufanya vizuri
Vijana wangu wa Sengerema Boys msituangushe
Daaah mkuu kitambo Sana, ndani ya karume mbili, route za down kusoma magazeti kwa sanaaaaaMzumbe Boys All The Best
Ha Ha Ha! Nilikuwa Mkwawa 04.Daaah mkuu kitambo Sana, ndani ya karume mbili, route za down kusoma magazeti kwa sanaaaaa
Kama ulokiwepo mzee izo comb hazinaga miujizaKama hukusoma miaka miwili hakuna kusubiria maajabu hasa kwa PCB na PCM..but Mungu ni wakumtanguliza