Recent content by Caveat

  1. C

    Ajali Mbili: Basi la NBS kutoka Dar - Tabora na Basi la Kisbo, yamepata ajali Morogoro

    Mkuu hio Kisbo iliyoanguka Igunga ilikuwa inatoka Tabora si Mwanza.
  2. C

    Naomba kujuzwa juu ya Basi zuri na nauli kwenda Songea

    Hiyo route kuna ; 1.Super Feo, ana gari za Kichina, Yutong na Higer. Ziko vizuri...kwenye Higer unachaji na simu yako kabisa. 2. Newforce naye anagari nzuri za kichina....Zhonghtong bus. 3. Ilyana.....huyu naye anagari nzuri za kichina. Ni Higer. zote ni nzuri. Uchaguzi ni wako.
  3. C

    Nitajieni basi zuri la Dar-Mbeya

    Ilasi Express...T801 DBF...Marcopolo Andare Class..Scania 95-310. Ukiikosa hii chukua New Force/ Golden Deer.
  4. C

    Pasaka: Asili, umuhimu wake na tamaduni zetu

    Uko sawa mkuu...specificaly Yesu alifufuka mwaka 31 A.D....alibatizwa 27 A.D.
  5. C

    Pasaka: Asili, umuhimu wake na tamaduni zetu

    Uko sawa kabisa...Pasaka(passover) iliyoamriwa na Mungu kushikwa ilifanyika siku ya 14 ya mwezi wa kwanza wa Kibiblia. Na imeelezewa vizuri katika Vitabu vya Kutoka 12 na Mambo ya Walawi 23:5 Siku ambayo Yesu alisulubiwa ilikuwa ni sikukuu hii ya Pasaka(passover)...Lakini kabla ya hapo...
  6. C

    AJALI: Magari manne yagongana na kusababisha vifo vya watu 4 na majeruhi 6 ktk msafara wa TAMISEMI

    Aiseh pole sana mkuu. mimi nimehitimu MU class of 2014. Marehemu nimemaliza naye Law School January mwaka huu.
Back
Top Bottom