Mungu kweli katuonekania... Mimi nlianza mafua, kifua wik 2 dodi za kifua siponi,,, kuchoka kichwa kuuma, kukosa ladha wala kutohisi harufu yoyote na kuharisha wk ya 3 hiyoo... Ktk kusoma makala nkakutana na dalili za uviko 19, kujiangalia ndizoo... Nkampogia dr mmoja akaniambia ndizo wahi Azuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.