Recent content by CatyMollel

  1. C

    Tuliopitiwa na wimbi la 3 Mwenyezi Mungu akatuokoa tukutane hapa

    Mungu kweli katuonekania... Mimi nlianza mafua, kifua wik 2 dodi za kifua siponi,,, kuchoka kichwa kuuma, kukosa ladha wala kutohisi harufu yoyote na kuharisha wk ya 3 hiyoo... Ktk kusoma makala nkakutana na dalili za uviko 19, kujiangalia ndizoo... Nkampogia dr mmoja akaniambia ndizo wahi Azuma...
  2. C

    Uganda imekubali kuwapa raia wa Afghanistani hifadhi ya ukimbizi

    Nimetamani sanaa huu mchanganyo uje na Tz
  3. C

    Wabunge wa upinzani bungeni

    Wako vzr kisheria na kadi za vyama vyao
  4. C

    Mke wangu hatimizi majukumu yake ya nyumbani ipasavyo

    Anatumia kinga za uzazi wa mpango? Lbd ndio zamchoya au ni hulka tu ya mtu kuna watu wa tabia hizo asili
Back
Top Bottom