Arudi aje kufanya nini kwenye chama ambacho hakifahamiki. Mtamwitaje mtu fisadi wakati huo huo mnammezea mate? Ndio maana wananchi walishindwa kuwaamini. Leo mnawaita watu mafisadi kesho mnawakaribisha kwenye chama chenu kama na nyie sio mafisadi ni nini.
Nawatetea hao wakaka kwa sababu kwa nini uzingue halafu usitegemee ugomvi? Wewe ni aina fulani ya wale wanawake wanaopenda kuwa juu ya mwanaume kila kitu unataka uamue wewe ndani ya nyumba. SWALI: Katika ndoa zote au mahusiano yote yenye migogoro; Je; zinahusisha wakaka wafupi tu????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.