Recent content by cathode

  1. cathode

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Wakuu hebu kuwen makin na hizi ishu bora ufike ofisin wakuunge wao nishapigwa 40000 kwenye hiz mambo na member wa humuhumu no trust any one inauma ila ni funzo bora upatiwe huduma kwanza ndipo ulipie.
  2. cathode

    Nawezaje kupata youtube

    Hu Huwezi kuifuta labda kama umeroot cm yako ndio unaweza kuifuta tafuta Google zipo hadi ambayo haina matangazo YouTube vanced
  3. cathode

    Nawezaje kupata youtube

    Unaweza kugoogle na kuweka YouTube nyingine achana na hiyo ya playstore kama inazingua
  4. cathode

    Nawezaje kupata youtube

    YouTube go imetengenezwa kwaajili ya simu zenye ram ndogo mfano 1gb na siyo mahususi kwa simu za Tecno na infinix YouTube ya kawaida ukiwa na ram ndogo simu inakuwa nzito na kujaa mapema
  5. cathode

    Leo jioni naleta hapa free app ya kuangalia TV mbalimbali, kaeni tayari

    Umetisha mkuu kazi yako tunaendelea kuikubal.
  6. cathode

    Leo jioni naleta hapa free app ya kuangalia TV mbalimbali, kaeni tayari

    Asante mkuu bora ulivyoiweka tumeichukua chap chap kabla mod hawajasepa nao Uzi huu.
  7. cathode

    Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

    We acha tu mkuu kukaa mbali na mke zaid ya mwezi ni shida sana.
  8. cathode

    Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

    Yaan ukiongelea kuhusu ukimwi presha inaanza kupanda sikua naogopa kupima ila baada ya kuchepuka akili yangu haipo sawa kwa sasa dadeki nanikipima nikaona fresh sitaki tena michepuko
  9. cathode

    Android games

    N Nitaufanyia kazi ushauri wako
  10. cathode

    Android games

    Niliextract ila kulipeleka kwenye obb folder ndio ikawa utata
  11. cathode

    Android games

    Nimedownload game pamoja na data kulifungua linadai data hamna sijui nakwama wapi chief naomba msaada.
  12. cathode

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mimi nilisajili dar baada ya kuhangaika kuzipata hapa iringa ni pande zipi zinapatikana Kwa sasa mkuu.
  13. cathode

    Hizi simu zinazotumia chip za mtk ni balaa

    Hujajua tu mkuu matatizo ya hiyo simu na kuhusu majina mimi huwa narestart ndio yanarudi coz ni mambo madogo kwangu ila sikupenda usumbufu ndio maana nikaachana nayo
Back
Top Bottom