Recent content by CatherineMumbi

  1. CatherineMumbi

    Hatimaye Maombi ya kumwombea Rais Magufuli yaanza kujibiwa

    Dua la kuku halimpati mwewe hapo mpk 2025
  2. CatherineMumbi

    Sirro: Jambazi aliyevamia gari ya fedha Kurasini, alikufa akisema Allah U Akbar

    Huwezi kumwamini Polisi hasa ukiwa na figisu figisu
  3. CatherineMumbi

    Fursa 26 za Ajira TAKUKURU 2017

    Jamaa mtandao wao haungiliki nimejaribu kuingia tangu mchana lakini nashindwa, msada wadau
  4. CatherineMumbi

    Paul Makonda alikuwa wapi Mei Mosi kwa mkoa wa Dar?

    Kwa bashite mnahangaika tu Anaweza akatolewa ukuu wa mkoa akapewa kazi nyingine na maisha yakasonga hiyo wala Haisaidii [emoji33] [emoji33]
  5. CatherineMumbi

    Natafuta mume

    Mbona tayari wanawake hivi Sasa wanatongoza wanaoa wanawalipa mpk Mahari mbona kawaida tu
  6. CatherineMumbi

    Je, Mbowe alipataje cheti cha Form Four ilhali hajawahi kufanya na kufaulu mtihani huo?

    Nyumbu wanamsakama bashite tu kumbe na wao wamo mwee
Back
Top Bottom