Recent content by CASSIUS

  1. CASSIUS

    Poultry farm Manager (Msimamizi wa Shamba la Mradi wa ufugaji wa Kuku wa Nyama)

    Tofauti na vyeti, je upo na ujuzi wa kuendesha na kusimamia mashine za kuchinja na kuchakata kuku?
  2. CASSIUS

    Poultry farm Manager (Msimamizi wa Shamba la Mradi wa ufugaji wa Kuku wa Nyama)

    Anahitajika mtaalamu wa kilimo na mifugo mwenye elimu ya kuanzia ngazi ya stashahada mwenye ujuzi na uzoefu kwenye tasnia ya ufugaji wa kuku wa nyama wa kisasa. Eneo la Mradi: Kazimzumbwi - Kisarawe (Pwani) Anatafutwa mtu mwenye sifa:- Mwenye ujuzi na uzoefu wa kusimamia na mradi wa ugugaji wa...
  3. CASSIUS

    Kama ulichaguliwa kujiunga UDSM fuata haya yatakusaidia

    Kwa niaba ya umoja wetu Kionambali Psychological Team, nawapongeza sana kwa nafasi mliyo ipata. Ni ukweli usiyopingika kuwa mmeipata nafasi adimu na adhimu sana. Hivyo HONGERA sana. 1.Kuhusu Mkopo, msiwaze sana kuhusu hilo. Hiyo ni hatua nyingine inayojitegemea. Maana upataji wa mkopo ufanyika...
  4. CASSIUS

    Ajira kwa walioko masomoni au wahitimu

    Ndg zangu poleni kwa mihangahiko ya hapa na pale. Kwa wale tunaotafuta kazi au jinsi ya kuishi kwa manufaa ya elimu tuliyopata, fungua link hii hapa chini ujisajiri na kuwa miongoni mwa walionufaika na elimu yao. http://jobrize.com/index.php?ref=367586
  5. CASSIUS

    Msaada kwa waliochaguliwa UDSM

    Ipo juu imeanza: your Ref.....2014-05.......Nitafute kwenye simu tupeane maelekezo vizuri. Asante na karibu
  6. CASSIUS

    Mliochaguliwa UDSM, fuata utaratibu huu

    Hello Brothers and Sisters!Hongereni kwa Kuchaguliwa kujiunga na Chuo Kikuu Bora Tanzania na Afrika kwa ujumla. Hoja zenu nimeziona, naomba kuwapa majibu sahihi maana mimi ni mtangulizi wenu chuoni hapa. Kuhusu ADMISSION FORM, zinapatkana kwenye website ya chuo, lakini si vizur kutumia hiyo...
  7. CASSIUS

    Msaada kwa waliochaguliwa UDSM

    Hello Brothers and Sisters!Hongereni kwa Kuchaguliwa kujiunga na Chuo Kikuu Bora Tanzania na Afrika kwa ujumla.Hoja zenu nimeziona, naomba kuwapa majibu sahihi maana mimi ni mtangulizi wenu chuoni hapa. Kuhusu ADMISSION FORM, zinapatkana kwenye website ya chuo, lakini si vizur kutumia hiyo maana...
  8. CASSIUS

    Kozi ambazo ajira zake ni ngumu kupata

    Eti vipi kwa upande wa BED IN SYCHOLOGY? NA WAPI UNAWEZA KUPATA KIBARUA MAPEMA?
  9. CASSIUS

    Makongo High School...!!!

    Mwembeni na Masahibu yake..... Askwambie m2! Unwanted figures...... Kisonga.... Ctive...... Katamba..... Jamboz...... Walikuwa poa sana! Mungu awape maisha marefu..... Major Mayebe..... Capt. Nyarusi...... They were Good in all aspects..... Babu Juma, Bonge Mama Neema kwa wale wapenz wa...
  10. CASSIUS

    Mwongozo! je inawezekana kuomba ubadilishiwe chuo ulicho chaguliwa?

    Ndg wana jamii kuna tetesi zinazagaa kwa kasi kuwa inawezekana ukakata rufaa ili ubadilishiwe chuo? Jamani mwenye ukweli kuhusu hili tunaomba aje na ukweli!
  11. CASSIUS

    Msaada: Soko la ajira kwa ded in psychology

    siyo kuwa wanaenda kufundisha somo la psychology vyuoni?
  12. CASSIUS

    Msaada: Soko la ajira kwa ded in psychology

    Naomba mtu yeyote mwenye kujua masomo ya BED IN PSYCHOLOGY baada ya chuo soko la ajira likoje anisaidie. Je serikali huwa inatoa ajira za moja kwa moja kama ilivyo kwa walimu waliosoma mf. BA with Education? Pia anaweza kufanya kazi zipi? Zaidi ya hapo niwapongeza nyote ambao mmesha jua wapi...
  13. CASSIUS

    Watangazaji wanaokubalika katika Idhaa za Kiswahili

    huyu wa DW, Humrykher ni mwanamke au manaume?
  14. CASSIUS

    Ivi huyu Malia na mdogo wake Sasha wanasoma saa ngapi? Na vp wanaweza kupata ma-boy friend kweli?

    umekomaa kuanzia mabegani kwenda chini wala si akili kumkichwa......! Weka data za kutosha kama unajiona kuguswa sana na wazo la watoto wa wakubwa kwenda na wazazi wao.....! Kwa taarifa yako; hata wasipo soma na ww uka kesha mpaka ukaibuukia kuwa prof, katu hutoishi maisha kama yao! Pia angalia...
Back
Top Bottom