Recent content by Cashman

  1. C

    Kabidhi Wasii Mkuu aivunja Bodi ya Udhamini ya Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania

    Kwanza kulikuza jina la kanisa kuliko kulikuja jina la Kristo ni kosa sana. Wasabato wanatukuza usabato kuliko kumtukuza Kristo. Lazima Mungu awaumbue. Imefika wakati viongozi wajue Nilibatizwa kwenye usabato na nikawa active sana enzi hizo nikiamini wachungaji wa kisabato ni watumishi wa kweli...
  2. C

    Hii video ya jamaa anatishia polisi,ni mkakati mpya wa destabilization ya serikali ya awamu hii!!?

    Bado kidogo Kagame na Muhozi watatia timu,nchi hii itakuwa kama Congo.Wananchi hawana kabisa uzalendo na vyombo vyao vya ulinzi na usalama
  3. C

    Hii video ya jamaa anatishia polisi,ni mkakati mpya wa destabilization ya serikali ya awamu hii!!?

    Kuua polisi sio mkakati mzuri kabisa. Polisi wa kawaida wanaishi maisha magumu ya mateso tu kama raia wengine. Binafsi ningeshauri watu wanaoshabikia maovu hadharani bila kujali yanatendwa na nani waonywe.Maana hawa watu wanaoshabikia uovu,ndio wanaowapa nguvu waovu kuendelea kufanya uovu wao...
  4. C

    Tetesi: Wafanyakazi wa Wasafi Radio wamegoma?

    Mnataka nini zaidi ya hiyo miziki ya kishetani? Kwani huwa kuna vipindi tofauti na miziki kwenye hii redio?
  5. C

    Mama Samia badili Sheria ya Makosa ya Jinai ( Penal Code), iendane na Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971. Utawin mioyo ya 99,% ya watanzania.

    Hapa usukumani vijana wa miaka 18-22 wanaoa watoto wa miaka 14-17 na ni kawaida tu. Tunaendekeza umalaya sana na ndio maana tuna sheria za kishetani
  6. C

    PostGE2025 Sitashangaa kuona wabunge wateuliwa wa CCM wakitangaza kujiuzulu na Tulia huenda ndio atakuwa wa kwanza

    Sio kweli,wengi dhamiri zao sio safi zimekufa zamani na hawajui ni sababu za wale kuandamana zaidi ya kusema wamedanganywa na mange
  7. C

    Wasabato mlituumiza sana mlipotuaminisha nyama ni mbaya ila nafaka ni nzuri

    Pamoja na ujinga wangu nimetoa hoja ila wewe mjuaji huna hoja zaidi tu unatamani kutukana.
  8. C

    Wasabato mlituumiza sana mlipotuaminisha nyama ni mbaya ila nafaka ni nzuri

    Kwa muda mrefu wasabato wamekuwa wakifundisha kuhusu ulaji wa vyakula ambavyo wao waliviita bora huku wakinukuu mafungu ya kitabu cha Daniel ambaye alikataa chakula cha kifalme na akaomba apewe mtama. Wasabato awali wakatafsiri mtama kuwa ni chakula cha nafaka chote na walimu wao wengine hadi...
  9. C

    Je, inawezekana na sisi kuwa bila jeshi kama walivyofanikiwa nchi ya Costa Rica?

    Nchi ya Costa Rica walifanya maamuzi mwaka 1948 kutokuwa na jeshi ili kuendeleza amani na upendo. Tangu wafanye uamuzi huo umeiletea nchi faida kubwa kwa kuwa raslimali nyingi ambazo zingewekezwa kwenye jeshi zimetumika kuleta maendeleo. Je sisi Tanzania tunahitaji jeshi ama tunaweza kuchukua...
  10. C

    PreGE2025 Diamond Platnumz: Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika

    Nimefurahi kwa video hiyo ya role model wa vijana wengi ambapo mimi sijawahi kuwaelewa kabisa kwa nini wanamuunga mkono mtu kama Diamond.Mtu anayetumika kimkakati kuharibu kizazi cha sasa na baadae kupitia muziki. Afadhali amewatukaka na nimefurahi kwani upumbavu wao wa kumuunga mkono ndio...
  11. C

    Sheria ya fao la kujitoa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii ni ya kikatili sana

    Unaambiwa ukishaajiriwa, ni sawa na kuwa umejisajili kuwa mtumwa, hata ukiacha kazi ili ujiajiri, huwezi kupata pesa yako iliyo mifuko ya hifadhi ya jamii. Itakubidi usubiri hadi miaka 55 ili uipate tena bila riba. Mfano umeacha kazi ukiwa na miaka 40 itakubidi usubiri miaka 15 kama ni milioni...
  12. C

    Mwaka 2016-2017, Lissu bila kujua alitumika na “CCM mtandao” kumhujumu Magufuli

    Tafuta kipimo cha kupima uwezo wako wa kufikiri utanishukuru baadae
  13. C

    Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    We we utakuwa mchaga watu ambao walitengeneza mtandao wa kupiga pesa serikalini na kwenye mashirika na makampuni yenye pesa. Alichofanya Magufuli ni kuzivunja vunja chain zote mlizozitumia kujifaidisha. Hata ningekuwa Mimi,ningeanza na mitandao yote inayojimilikisha utajiri wa nchi.
  14. C

    Watanzania hatuna tena uzalendo

    Ni mambo ya kusikitisha lakini ndio ukweli. Watanzania hatuna uzalendo kabisa. Kila mtu anawaza ubinafsi wa kiwango cha juu sana. Hatuko kitu kimoja.Adui akiingia,atafanikiwa kama M23 wanavyofanikiwa kuiteka Congo wapendavyo .Tumekuwa kama wacongo,hatuna uzalendo kabisa. Jambo hili ni...
  15. C

    WanaJF, Nawaahidi mashahidi wa Siri wa serikali tutawaweka wazi taarifa zao baada tu ya kutoka kutoa ushahidi

    H Hakuna cha miwani ya camera wala nini watoa taarifa za mashahidi wa siri wako humo humo kwenye mfumo,hakutakuwa na siri maana nchi kwa sasa imegawanyika sana. Mi niko vijijini huku ila nashangaa wakulima wanamsikiliza mange
Back
Top Bottom