Recent content by Cashman

  1. C

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Simba hovyo sana,yaani mchezaji ni Libase pekee. Hii timu unaiheshimuje wanacheza upumbavu sana
  2. C

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Wachezaji wa Simba hawajitumi,wanapiga pasi wamesimama,timu inaonekana energy ipo chini sana,kocha ame relax anaona sawa tu,kipa anachelewesha mipira,wanapata nafasi ya ku counter attack wanakimbia kujichelewesha wakisubiri wakabwe kisha mpira warudishe kwa kipa. Tatizo namba moja ni benchi la...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Je, kutatokea nini Lissu akihukumiwa kunyongwa hadi kufa?

    Atapata msamaha wa Rais,kisha atapoteza sifa ya kugombea. Historia itafungwa namna hiyo. Kinachomgharimu Lissu,ni ile kauli yake ya kumchukulia Mungu poa.Alisema kwenye kupigania katiba mnamwachia Mungu,Mungu hatawasaidia! Asipotubu,Mungu ataufanya moyo wa Farao kuwa mgumu. Mimi ni mjumbe tu
  4. C

    JamiiForums Tanzania MO haidai Simba hata shilingi moja, inamdai yeye

    Aondoke aone kama Simba itakufa.Simba ina miaka 90 mo ana umri gani?Mwe mnaacha akili za kitumwa
  5. C

    JamiiForums Tanzania Ombi kwa Uongozi/Tech Team: Rudisheni au Wekeni Hiari ya Kutumia App ya Zamani (Legacy API

    Mimi si mtaalam wa hivi vitu ila ninavyoiona app mpya ina boa sana,ila nilihisi waliohusika kuibadili ni hawa graduate wa vyuo vyetu naona wameanza kupata ajira. Wanachokifanya ni kwamba kila kitu kizuri huruhisiwe kukipata kirahisi lazima u struggle kama wanavyo struggle huko vyuoni. Kwa akili...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Wauza jezi feki za Simba wamejitokeza kumshambulia Jayrutty,wafuatiliwe

    Kwa wanaotumia inteligensia yao vizuri,wanaweza kung'amua kwa urahisi uhusiano wa maumivu ya kudhibiti jezi feki na hasira uchwara za watu waliodhaminiwa jana kufanya press conference dhidi ya mzabuni wa Simba. Wamejitokeza wazi nashauri wafuatiliwe mwanzo mwisho maana inaashiria licha ya kuwa...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Hivi serikali inasubiri watu wapigane visu kwa ajili ya Simba ndio waingilie kati?

    Siyo siri naangalia mechi hapa na Kagera naona Simba wanacheza hovyo sana,hawana morali,wanacheza kama wapo mazoezini. Hii timu kwa sasa inakatisha tamaa
  8. C

    JamiiForums Tanzania Upungufu wa watu wenye akili Tanzania ndicho chanzo cha migogoro mingi kukosa utatuzi,tizama mgogoro wa Simba

    Watu wengi huamini mtu mwenye vyeti vingi vya shule ndiye mwenye akili,lakini mimi naamini akili ni zaidi ya kumiliki vyeti vya shule. Mgogoro wa Simba ni mfano mzuri kuonesha watanzania wengi,hususan walio kwenye media na wanaojitokeza sana kuzungumza,hawana akili kabisa. Sijasikia mtu hata...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Siamini kama kuwa tajiri kunahitaji akili,maana matajiri wengine hawana akili kabisa

    Ukisikiliza speech ya tajiri namba moja,unaona mtu kilaza sana ambaye unaweza kudhani hakupita hata shule yoyote. Jambo hili linanifanya niamini utajiri ni majaliwa ya Mungu tu,na ukishaupata,unautumia utajiri wako kudhulumu watu ili uzidi kuwa tajiri.Na uzuri unapata machawa ambao ndio watakupa...
  10. C

    JamiiForums Tanzania Hawa mashabiki wa Simba wanaosema wakawashitaki viongozi wao kwa Rais Samia wana akili kweli?

    Nasikitika kusema kuna mashabiki maarufu kama influencer wa Simba hawana akili timamu na nikama hayawani mmoja anaitwa nyumbu. Rais Samia ndiye huyu mlimzomea kwenye Simba day mwaka jana,leo mnajitoa akili eti mnaenda kushitaki viongozi wenu? Nyumbu ni mnyama ambaye akikimbizwa na Simba na...
  11. C

    JamiiForums Tanzania Aliyemwelekeza Ahmed Ally kumtangaza Seleman Mwalimu anapaswa kujiuzulu mara moja pake Simba ni mhuni

    Sina mashaka kabisa na ninachokisema.Huyu aliyempa maelekezo msemaji wa Simba anapaswa kuondoka pale Simba mara moja. Inaonekana ni mpango wa kuidhalilisha timu uliopangwa na upande wa pili na umeenda sawa sawia. Mtu aliyempa uhakika Ahmed kwamba wamemalizana na Wydad kuhusu Seleman,huyu ndiye...
  12. C

    JamiiForums Tanzania SDA kanisa langu kubalini kuwa wanafunzi wa Yesu na sio waumini wafuasi wa Ellen White

    Wachapishaji wa vitabu vya Ellen White huenda walikuwa aidha illuminat ama walikuwa influenced na illuminat. Kuamini jumbe katika vitabu hivi badala ya biblia,ni hatari sana.
  13. C

    JamiiForums Tanzania Wasabato na kunena kwa lugha, hadi lini mtaishi katika uongo?

    Hapa ndipo huwa naona kumbe mambo ya kiroho sio mepesi.Umeshindwaje kujibu hoja ya mstari wa Paulo unaosema anenaye kwa lugha haongei na binadamu bali Mungu?!Hata hiyo ya kutafsiri wanayofanya wasabato,ni kuhutubu sio kunena kwa lugha kunakozungumzwa hapo
  14. C

    JamiiForums Tanzania Wasabato na kunena kwa lugha, hadi lini mtaishi katika uongo?

    Moja ya ishara iliyotajwa kuambatana na waaminio ni kusema kwa lugha mpya katikaMarko 16:17 Paulo akielezea hili, alisema katika 1 kor 14:2 "maana yeye anenaye kwa lugha hasemi na watu,bali husema na Mungu;maana hakuna asikiaye lakini anena mambo ya siri katika roho yake. Nimekuwa nafuatilia...
  15. C

    JamiiForums Tanzania SDA kanisa langu kubalini kuwa wanafunzi wa Yesu na sio waumini wafuasi wa Ellen White

    Wanafunzi wa Yesu waliambiwa "Enendeni ulimwenguni mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi..." Wafuasi wa kweli wa Yesu hawajahitimu hadi Yesu atakaporudi ndipo tunaambiwa atawapa taji. Kuna hatari ya kujitengenezea theolojia na kuifuata kama ilivyo hata kama ina mapungufu. Kanisa linapaswa kujua...
Back
Top Bottom