Recent content by Cashman

  1. C

    JamiiForums Tanzania Mwamuzi wa Kenya alikuwa sawa kwa sababu "HAKUPENDELEA"HIyo inatosha kuliko hawa wetu Wanaopendelea

    Kuna timu imeshaona itaaibika iwapo mechi zote za ddrby zitachezeshwa na waamuzi kutoka nje na kwa hiyo imeanza kampeni kali ya kuonesha mwamuzi wa Kenya aliyechezesha mechi ya derby hafai. Simba huwa wamezubaa na kuziacha kelele hizi ambazo zinaweza kusababisha kughairishwa kwa utaratibu wa...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Lissu atoke, Yes. Atoke. Hawa wanaotaka awe na msimamo mkali haisaidii lolote katika kufanya atoke

    Hii aliitaka Lissu mwenyewe na timu yake kwani tuhuma kubwa dhidi ya Mbowe ni kwamba aliramba asali alipofanya maridhiano na Rais na akatolewa jela alipokuwa amekaa miezi saba. Leo atawaambia nini watu akikubali maridhuano atoke jela iwapo hilo ndilo lilikuwa kosa kubwa la Mbowe hadi wakamwita...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Kabidhi Wasii Mkuu aivunja Bodi ya Udhamini ya Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania

    Kwanza kulikuza jina la kanisa kuliko kulikuja jina la Kristo ni kosa sana. Wasabato wanatukuza usabato kuliko kumtukuza Kristo. Lazima Mungu awaumbue. Imefika wakati viongozi wajue Nilibatizwa kwenye usabato na nikawa active sana enzi hizo nikiamini wachungaji wa kisabato ni watumishi wa kweli...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Hii video ya jamaa anatishia polisi,ni mkakati mpya wa destabilization ya serikali ya awamu hii!!?

    Bado kidogo Kagame na Muhozi watatia timu,nchi hii itakuwa kama Congo.Wananchi hawana kabisa uzalendo na vyombo vyao vya ulinzi na usalama
  5. C

    JamiiForums Tanzania Hii video ya jamaa anatishia polisi,ni mkakati mpya wa destabilization ya serikali ya awamu hii!!?

    Kuua polisi sio mkakati mzuri kabisa. Polisi wa kawaida wanaishi maisha magumu ya mateso tu kama raia wengine. Binafsi ningeshauri watu wanaoshabikia maovu hadharani bila kujali yanatendwa na nani waonywe.Maana hawa watu wanaoshabikia uovu,ndio wanaowapa nguvu waovu kuendelea kufanya uovu wao...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Wafanyakazi wa Wasafi Radio wamegoma?

    Mnataka nini zaidi ya hiyo miziki ya kishetani? Kwani huwa kuna vipindi tofauti na miziki kwenye hii redio?
  7. C

    JamiiForums Tanzania Mama Samia badili Sheria ya Makosa ya Jinai ( Penal Code), iendane na Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971. Utawin mioyo ya 99,% ya watanzania.

    Hapa usukumani vijana wa miaka 18-22 wanaoa watoto wa miaka 14-17 na ni kawaida tu. Tunaendekeza umalaya sana na ndio maana tuna sheria za kishetani
  8. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sitashangaa kuona wabunge wateuliwa wa CCM wakitangaza kujiuzulu na Tulia huenda ndio atakuwa wa kwanza

    Sio kweli,wengi dhamiri zao sio safi zimekufa zamani na hawajui ni sababu za wale kuandamana zaidi ya kusema wamedanganywa na mange
  9. C

    JamiiForums Tanzania Wasabato mlituumiza sana mlipotuaminisha nyama ni mbaya ila nafaka ni nzuri

    Pamoja na ujinga wangu nimetoa hoja ila wewe mjuaji huna hoja zaidi tu unatamani kutukana.
  10. C

    JamiiForums Tanzania Wasabato mlituumiza sana mlipotuaminisha nyama ni mbaya ila nafaka ni nzuri

    Kwa muda mrefu wasabato wamekuwa wakifundisha kuhusu ulaji wa vyakula ambavyo wao waliviita bora huku wakinukuu mafungu ya kitabu cha Daniel ambaye alikataa chakula cha kifalme na akaomba apewe mtama. Wasabato awali wakatafsiri mtama kuwa ni chakula cha nafaka chote na walimu wao wengine hadi...
  11. C

    JamiiForums Tanzania Je, inawezekana na sisi kuwa bila jeshi kama walivyofanikiwa nchi ya Costa Rica?

    Nchi ya Costa Rica walifanya maamuzi mwaka 1948 kutokuwa na jeshi ili kuendeleza amani na upendo. Tangu wafanye uamuzi huo umeiletea nchi faida kubwa kwa kuwa raslimali nyingi ambazo zingewekezwa kwenye jeshi zimetumika kuleta maendeleo. Je sisi Tanzania tunahitaji jeshi ama tunaweza kuchukua...
  12. C

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Diamond Platnumz: Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika

    Nimefurahi kwa video hiyo ya role model wa vijana wengi ambapo mimi sijawahi kuwaelewa kabisa kwa nini wanamuunga mkono mtu kama Diamond.Mtu anayetumika kimkakati kuharibu kizazi cha sasa na baadae kupitia muziki. Afadhali amewatukaka na nimefurahi kwani upumbavu wao wa kumuunga mkono ndio...
  13. C

    JamiiForums Tanzania Sheria ya fao la kujitoa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii ni ya kikatili sana

    Unaambiwa ukishaajiriwa, ni sawa na kuwa umejisajili kuwa mtumwa, hata ukiacha kazi ili ujiajiri, huwezi kupata pesa yako iliyo mifuko ya hifadhi ya jamii. Itakubidi usubiri hadi miaka 55 ili uipate tena bila riba. Mfano umeacha kazi ukiwa na miaka 40 itakubidi usubiri miaka 15 kama ni milioni...
  14. C

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2016-2017, Lissu bila kujua alitumika na “CCM mtandao” kumhujumu Magufuli

    Tafuta kipimo cha kupima uwezo wako wa kufikiri utanishukuru baadae
  15. C

    JamiiForums Tanzania Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    We we utakuwa mchaga watu ambao walitengeneza mtandao wa kupiga pesa serikalini na kwenye mashirika na makampuni yenye pesa. Alichofanya Magufuli ni kuzivunja vunja chain zote mlizozitumia kujifaidisha. Hata ningekuwa Mimi,ningeanza na mitandao yote inayojimilikisha utajiri wa nchi.
Back
Top Bottom