Watu wengi huamini mtu mwenye vyeti vingi vya shule ndiye mwenye akili,lakini mimi naamini akili ni zaidi ya kumiliki vyeti vya shule.
Mgogoro wa Simba ni mfano mzuri kuonesha watanzania wengi,hususan walio kwenye media na wanaojitokeza sana kuzungumza,hawana akili kabisa.
Sijasikia mtu hata...
Ukisikiliza speech ya tajiri namba moja,unaona mtu kilaza sana ambaye unaweza kudhani hakupita hata shule yoyote.
Jambo hili linanifanya niamini utajiri ni majaliwa ya Mungu tu,na ukishaupata,unautumia utajiri wako kudhulumu watu ili uzidi kuwa tajiri.Na uzuri unapata machawa ambao ndio watakupa...
Nasikitika kusema kuna mashabiki maarufu kama influencer wa Simba hawana akili timamu na nikama hayawani mmoja anaitwa nyumbu.
Rais Samia ndiye huyu mlimzomea kwenye Simba day mwaka jana,leo mnajitoa akili eti mnaenda kushitaki viongozi wenu?
Nyumbu ni mnyama ambaye akikimbizwa na Simba na...
Sina mashaka kabisa na ninachokisema.Huyu aliyempa maelekezo msemaji wa Simba anapaswa kuondoka pale Simba mara moja.
Inaonekana ni mpango wa kuidhalilisha timu uliopangwa na upande wa pili na umeenda sawa sawia.
Mtu aliyempa uhakika Ahmed kwamba wamemalizana na Wydad kuhusu Seleman,huyu ndiye...
Wachapishaji wa vitabu vya Ellen White huenda walikuwa aidha illuminat ama walikuwa influenced na illuminat.
Kuamini jumbe katika vitabu hivi badala ya biblia,ni hatari sana.
Hapa ndipo huwa naona kumbe mambo ya kiroho sio mepesi.Umeshindwaje kujibu hoja ya mstari wa Paulo unaosema anenaye kwa lugha haongei na binadamu bali Mungu?!Hata hiyo ya kutafsiri wanayofanya wasabato,ni kuhutubu sio kunena kwa lugha kunakozungumzwa hapo
Moja ya ishara iliyotajwa kuambatana na waaminio ni kusema kwa lugha mpya katikaMarko 16:17
Paulo akielezea hili, alisema katika 1 kor 14:2 "maana yeye anenaye kwa lugha hasemi na watu,bali husema na Mungu;maana hakuna asikiaye lakini anena mambo ya siri katika roho yake.
Nimekuwa nafuatilia...
Wanafunzi wa Yesu waliambiwa "Enendeni ulimwenguni mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi..."
Wafuasi wa kweli wa Yesu hawajahitimu hadi Yesu atakaporudi ndipo tunaambiwa atawapa taji.
Kuna hatari ya kujitengenezea theolojia na kuifuata kama ilivyo hata kama ina mapungufu.
Kanisa linapaswa kujua...
CCM bado ipo sana!
As long as yanga ipo na inabeba ubingwa,huwezi kuiondoa ccm.Familia zinazotawala nchi wote ni wana yanga na wana wafuasi lia lia.
Hata nchi ikifilisika ili mradi yanga bingwa ccm itaendelea kubaki madarakani.
Changamoto kubwa sana yetu ni upungufu wa akili.
Si...
Kwa mujibu wa mtu mmoja aliyejulikana kama pawa mabula,mtu aliyeganya maonesho ya nguvu zake miaka ya nyuma zilizokuwa mithili ya nguvu za Samsoni wa kwenye biblia,ni kwamba yeye binafsi alitumia majini 100 kumsaidia kufanya yote hayo.
Akihojiwa wakati fulani wa uhai wake,baada ya...
Inasikitisha sana lakini ukweli mchungu katika soka letu ni kwamba kuna michezo michafu inachezwa na kusimamiwa na timu moja inayojinasibu kuwa bora kwa miaka mitano mfululizo.
Hawa watu ndio walitekeleza jukumu la kuhakikisha anapangwa mwamuzi ambaye angeathiri saikolojia ya wachezaji wa Simba...
Kuna timu imeshaona itaaibika iwapo mechi zote za ddrby zitachezeshwa na waamuzi kutoka nje na kwa hiyo imeanza kampeni kali ya kuonesha mwamuzi wa Kenya aliyechezesha mechi ya derby hafai.
Simba huwa wamezubaa na kuziacha kelele hizi ambazo zinaweza kusababisha kughairishwa kwa utaratibu wa...
Hii aliitaka Lissu mwenyewe na timu yake kwani tuhuma kubwa dhidi ya Mbowe ni kwamba aliramba asali alipofanya maridhiano na Rais na akatolewa jela alipokuwa amekaa miezi saba.
Leo atawaambia nini watu akikubali maridhuano atoke jela iwapo hilo ndilo lilikuwa kosa kubwa la Mbowe hadi wakamwita...
Kwanza kulikuza jina la kanisa kuliko kulikuja jina la Kristo ni kosa sana.
Wasabato wanatukuza usabato kuliko kumtukuza Kristo.
Lazima Mungu awaumbue.
Imefika wakati viongozi wajue
Nilibatizwa kwenye usabato na nikawa active sana enzi hizo nikiamini wachungaji wa kisabato ni watumishi wa kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.