Kwanza kulikuza jina la kanisa kuliko kulikuja jina la Kristo ni kosa sana.
Wasabato wanatukuza usabato kuliko kumtukuza Kristo.
Lazima Mungu awaumbue.
Imefika wakati viongozi wajue
Nilibatizwa kwenye usabato na nikawa active sana enzi hizo nikiamini wachungaji wa kisabato ni watumishi wa kweli...
Kuua polisi sio mkakati mzuri kabisa.
Polisi wa kawaida wanaishi maisha magumu ya mateso tu kama raia wengine.
Binafsi ningeshauri watu wanaoshabikia maovu hadharani bila kujali yanatendwa na nani waonywe.Maana hawa watu wanaoshabikia uovu,ndio wanaowapa nguvu waovu kuendelea kufanya uovu wao...
Kwa muda mrefu wasabato wamekuwa wakifundisha kuhusu ulaji wa vyakula ambavyo wao waliviita bora huku wakinukuu mafungu ya kitabu cha Daniel ambaye alikataa chakula cha kifalme na akaomba apewe mtama.
Wasabato awali wakatafsiri mtama kuwa ni chakula cha nafaka chote na walimu wao wengine hadi...
Nchi ya Costa Rica walifanya maamuzi mwaka 1948 kutokuwa na jeshi ili kuendeleza amani na upendo.
Tangu wafanye uamuzi huo umeiletea nchi faida kubwa kwa kuwa raslimali nyingi ambazo zingewekezwa kwenye jeshi zimetumika kuleta maendeleo.
Je sisi Tanzania tunahitaji jeshi ama tunaweza kuchukua...
Nimefurahi kwa video hiyo ya role model wa vijana wengi ambapo mimi sijawahi kuwaelewa kabisa kwa nini wanamuunga mkono mtu kama Diamond.Mtu anayetumika kimkakati kuharibu kizazi cha sasa na baadae kupitia muziki.
Afadhali amewatukaka na nimefurahi kwani upumbavu wao wa kumuunga mkono ndio...
Unaambiwa ukishaajiriwa, ni sawa na kuwa umejisajili kuwa mtumwa, hata ukiacha kazi ili ujiajiri, huwezi kupata pesa yako iliyo mifuko ya hifadhi ya jamii. Itakubidi usubiri hadi miaka 55 ili uipate tena bila riba.
Mfano umeacha kazi ukiwa na miaka 40 itakubidi usubiri miaka 15 kama ni milioni...
We we utakuwa mchaga watu ambao walitengeneza mtandao wa kupiga pesa serikalini na kwenye mashirika na makampuni yenye pesa.
Alichofanya Magufuli ni kuzivunja vunja chain zote mlizozitumia kujifaidisha.
Hata ningekuwa Mimi,ningeanza na mitandao yote inayojimilikisha utajiri wa nchi.
Ni mambo ya kusikitisha lakini ndio ukweli.
Watanzania hatuna uzalendo kabisa.
Kila mtu anawaza ubinafsi wa kiwango cha juu sana.
Hatuko kitu kimoja.Adui akiingia,atafanikiwa kama M23 wanavyofanikiwa kuiteka Congo wapendavyo
.Tumekuwa kama wacongo,hatuna uzalendo kabisa.
Jambo hili ni...
H
Hakuna cha miwani ya camera wala nini watoa taarifa za mashahidi wa siri wako humo humo kwenye mfumo,hakutakuwa na siri maana nchi kwa sasa imegawanyika sana.
Mi niko vijijini huku ila nashangaa wakulima wanamsikiliza mange
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.