JIMBO LA HANDENI MJINI NA SIASA ZA 2025.
Kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba, 2025 tumekuwa tukiona harakati za kisiasa zikipamba moto kwenye majimbo mbali mbali Nchini.
Jimbo la Handeni mjini ni mojawapo kati ya majimbo ya mkoa wa Tanga na kwasasa lipo chini ya Mhe Reuben Mtahamanilo Kwagilwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.