Hii hatua ya fumanizi nadhani ni hatua ya mbele kabla ya hatua fulani.
Kuhusu maradhi ndio hofu yangu, maana najua nitakuja kujutia ukimya wangu baada ya tatizo
Ukisema hayatuhusu sisi watoto siwezi kukulaumu, maana viatu tunavyovaa vinatofautiana familia yangu na yako.
Ila nimechukua baadhi ya maneno yako, I will keep them into considerations.
Hizi ni takwimu za uzoefu wako! Asante mkuu.
Ni kweli siwezi kujua undani, lakini pia siwezi kuweka hapa kila aina ya vimbwanga hapa vya mzee, itawachosha maana sio lengo la hii post. Nimejaribu kutoa japo moja ya matukio makubwa yanayoathiri familia ili mpate picha, ila pia una haki ya kusema...
Umri sio jambo la muhimu.
Nilitaja sehemu anapofanyia kaz? labda kama CWT ilikupa wenge, nikusaidie; CWT ni Chama cha Walimu Tanzania.
Au Tanzania ndio sehemu unayozungumzia wewe?
Anyway, nimezingatia zaidi aya yako ya pili, kidogo umejaribu kuongea kama mtu mwenye utimamu.
Greetings!
Ninaishi kwenye familia yenye wazazi wote wawili, watoto wanne, mimi nikiwa mtoto wa kwanza na ndiye wa kiume pekee. Namshukuru Mungu, kwa sasa mimi najitegemea. Changamoto kubwa ipo kwa hawa wadogo zangu, wawili wanasoma chuo bila mkopo, pesa ya ada na kujikimu wanalipiwa na mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.