Starboywiz
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 867
- 1,441
Habari wana MMU, nisiwachoshe..
Wiki kadhaa zilizopita niliamua kuachana na mwanamke ambaye nilikua nae kwenye mahusiano kwa takribani miezi miwili hivi..kiukweli tuliachana kwa ugomvi, na kingine ni kwamba binafsi huwa napenda sana kuwa na mipaka inayoonekana wazi kabisa, na hupenda ku keep cycle yangu small kwa mantiki hiyo basi huwa sina urafiki na ex wangu yeyote yule (tafsiri vyovyote unavyoweza, lakini sio gubu).
Kipindi nina mahusiano na huyu sister aliwahi kunitumia nudes zake kadhaa, na alikuwa na hofu sana kufanya hivyo lakini nilimlazimisha akafanya hivyo hizo picha nikazihifadhi kwenye vault, sikuwahi kufikiria kutumia hizi picha kumuadhibu kwa namna yoyote ile mana najua kila kitu alichofanya kwangu kwa hiyo miezi miwili alifanya kwa ajili ya mapenzi.
Leo mida flani niliamua kupitia Gallery vault yangu ambako huwa nahifadhi picha zangu za muhimu (na hizi zake zilikua huku) baada ya kuziona nikaamua kuzifuta, so nikazi mark kama mbili hivi mbazo ndo chafu zaidi kabla sija press delete button kuna mtu akawa ananipigia simu na baada ya kuongea nae nikawa nimesahau kuwa nilikuwa Vault nataka kufuta hizo pics (kumbuka nilikuwa nishazi mark), baadae kidogo nikarudi tena kwenye vault ili niendelee kuangalia pics zangu zingine nikaikuta picha fulani ambayo nikawish niiweke whatsapp status nikai mark nikasend
Upuuzi ni kwamba nilisahau kuwa hata zile nudes za yule manzi nilizimark kwa ajili ya kufuta kwahiyo still zilikua marked so nazo zikaenda whatsapp status bahati nzuri niliwahi kuona hilo nikazifuta mapema..
Utata unakuja kwamba, kipindi niko kwenye mahusiano na huyu mtu nilimfundisha kutumia mod ya whatsapp ambayo ina kitu kinaitwa ant delete yani mtu akikutumia meseji au aweke status hata akifuta kwako haifutiki!! yeye alivoingia online akakuta hizo picha zake ziko posted na aka reply hiyo status.
Nimejaribu kumpigia nimuelekeze kilichotokea kapokea simu kibabe, nikamuuliza kama naweza kuongea nae akajibu "hapana haiwezekani"
Yeye akilini mwake anajua mimi nineamua kupost hizo picha ili kumuumiza makusudi, kitu ambacho sio kweli..na bahati mbaya hataki kunisikiliza, sasa sijui niendelee kujaribu tena kuongea nae ili nimuelekeze au nimkaushie tuu??
Wiki kadhaa zilizopita niliamua kuachana na mwanamke ambaye nilikua nae kwenye mahusiano kwa takribani miezi miwili hivi..kiukweli tuliachana kwa ugomvi, na kingine ni kwamba binafsi huwa napenda sana kuwa na mipaka inayoonekana wazi kabisa, na hupenda ku keep cycle yangu small kwa mantiki hiyo basi huwa sina urafiki na ex wangu yeyote yule (tafsiri vyovyote unavyoweza, lakini sio gubu).
Kipindi nina mahusiano na huyu sister aliwahi kunitumia nudes zake kadhaa, na alikuwa na hofu sana kufanya hivyo lakini nilimlazimisha akafanya hivyo hizo picha nikazihifadhi kwenye vault, sikuwahi kufikiria kutumia hizi picha kumuadhibu kwa namna yoyote ile mana najua kila kitu alichofanya kwangu kwa hiyo miezi miwili alifanya kwa ajili ya mapenzi.
Leo mida flani niliamua kupitia Gallery vault yangu ambako huwa nahifadhi picha zangu za muhimu (na hizi zake zilikua huku) baada ya kuziona nikaamua kuzifuta, so nikazi mark kama mbili hivi mbazo ndo chafu zaidi kabla sija press delete button kuna mtu akawa ananipigia simu na baada ya kuongea nae nikawa nimesahau kuwa nilikuwa Vault nataka kufuta hizo pics (kumbuka nilikuwa nishazi mark), baadae kidogo nikarudi tena kwenye vault ili niendelee kuangalia pics zangu zingine nikaikuta picha fulani ambayo nikawish niiweke whatsapp status nikai mark nikasend
Upuuzi ni kwamba nilisahau kuwa hata zile nudes za yule manzi nilizimark kwa ajili ya kufuta kwahiyo still zilikua marked so nazo zikaenda whatsapp status bahati nzuri niliwahi kuona hilo nikazifuta mapema..
Utata unakuja kwamba, kipindi niko kwenye mahusiano na huyu mtu nilimfundisha kutumia mod ya whatsapp ambayo ina kitu kinaitwa ant delete yani mtu akikutumia meseji au aweke status hata akifuta kwako haifutiki!! yeye alivoingia online akakuta hizo picha zake ziko posted na aka reply hiyo status.
Nimejaribu kumpigia nimuelekeze kilichotokea kapokea simu kibabe, nikamuuliza kama naweza kuongea nae akajibu "hapana haiwezekani"
Yeye akilini mwake anajua mimi nineamua kupost hizo picha ili kumuumiza makusudi, kitu ambacho sio kweli..na bahati mbaya hataki kunisikiliza, sasa sijui niendelee kujaribu tena kuongea nae ili nimuelekeze au nimkaushie tuu??