Recent content by Carlos Valderrama

  1. Carlos Valderrama

    Muuzaji MV Dar akubali kukirekebisha Kivuko kwa gharama zake!

    Kwa nini wasimpeleke mahakamani kwa utanganyifu.
  2. Carlos Valderrama

    Kuna umuhimu wafanyakazi wa mgodi wa Mwadui kudai fidia walivyokuwa wanadhalilishwa

    Kumbe watanzania kunyanyaswa na kudhalilishwa kwenye mali zao kulianza toka zamani.
  3. Carlos Valderrama

    Serikali tusimamie wananchi makampuni ya simu yanatuibia kwenye Internet

    Wa JF. Watanzania kila kukicha wanazidi kukamaliwa na hawa wawekezaje huku serikali ikiwa upande wa wawekezaji. Mabenki yanajipangia riba kubwa wanavyotaka wao lakini serikali wala haina tatizo kwenye hilo. Sasa hivi haya makampuni ya simu yanafanya wizi mkubwa kwa wateja wake kwenye kuuza...
  4. Carlos Valderrama

    Polisi wanaodaiwa kula chipsi na kutokomea kuchunguzwa

    Kichwa cha habari na maelezo yako mbona tofauti.
  5. Carlos Valderrama

    CHADEMA wakiwa Kanisani wakiomba kabla ya kujipanga na UKUTA

    Mkuu picha za Kanisani zinajieleza halafu unauliza tena.
  6. Carlos Valderrama

    CHADEMA wakiwa Kanisani wakiomba kabla ya kujipanga na UKUTA

    Nakumbuka kuna kipindi humu JF tulimshambulia sana Lipumba kuwa analeta siasa Msikitini sasa leo mbona tunakuwa wanafiki kiasi hiki.
  7. Carlos Valderrama

    CHADEMA wakiwa Kanisani wakiomba kabla ya kujipanga na UKUTA

    Mimi nataka kusema kitu Prof Safari, na Salum Mwalim, waliambiwa wabaki nje ya Kanisa.
  8. Carlos Valderrama

    Waziri Mkuu fuatilia haya mabasi ya mwendokasi, siku za weekend tunateseka

    Wana JF. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wananchi wanapata usumbufu mkubwa mno kutoka kwenye haya mabasi ya mwendokasi siku za weekend, Jumamosi na Jumapili. Hawa wamiliki wa haya mabasi wanatumia mabasi machane mno wananchi wanajazana kwenye vituo kwa wanasubiri mabasi zaidi ya masaa mawili...
  9. Carlos Valderrama

    Wananchi wa Uturuki wamegoma kuingizwa mkenge kama wa Libya

    Kwa hiyo wewe history yako inaaanzia mwaka 2000 tu utaki kurudi nyuma? Wewe umesema waarabu wamezoea kuawana wenyewe kwa wenyewe. Kwani topic hii inawahusu waarabu??? Uturuki ni mwanachama wa NATO maana hiyo yupo Ulaya wewe ndiyo Google kujua Uturuki ni Waarabu kisha uje utufahamishe.
  10. Carlos Valderrama

    Wananchi wa Uturuki wamegoma kuingizwa mkenge kama wa Libya

    Hahahahha unauliza swali halafu unataka upewe majibu unayotaka. Wazungu wameuana sana au hutaki history?
  11. Carlos Valderrama

    Wananchi wa Uturuki wamegoma kuingizwa mkenge kama wa Libya

    Sasa wewe na mimi nani ana porojo kwani Uturuki ipo wapi? Halafu unaposema waraabu wanapenda kuawana wenyewe kwa wenyewe uje na ushahidi. Siyo kweli hata wazungu wanauwana wenyewe kwa wenyewe soma history.
  12. Carlos Valderrama

    Wananchi wa Uturuki wamegoma kuingizwa mkenge kama wa Libya

    Jaribu kufunua vitabu usome upya nadhani ufahamu vita vya wenyewe kwa wenyewe Ulaya vimetokea sana zaidi ya hizo nchi za kiarabu.
  13. Carlos Valderrama

    Wananchi wa Uturuki wamegoma kuingizwa mkenge kama wa Libya

    Safi sana Turkey wameona mbali nchi yao sasa hivi ina maendeleo makubwa hao waasi wanata kuichafua kama Libya.
  14. Carlos Valderrama

    David Silinde: Ununuzi wa ndege mbili kubwa za ATCL una harufu ya ufisadi

    Wanunue tu ni aibu Taifa kukosa shirika lake la ndege.
Back
Top Bottom