Carlos Valderrama
JF-Expert Member
- Dec 27, 2014
- 664
- 240
Wana JF.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wananchi wanapata usumbufu mkubwa mno kutoka kwenye haya mabasi ya mwendokasi siku za weekend, Jumamosi na Jumapili.
Hawa wamiliki wa haya mabasi wanatumia mabasi machane mno wananchi wanajazana kwenye vituo kwa wanasubiri mabasi zaidi ya masaa mawili mpaka matatu halafu tunaita mwendo kasi.
Kama wanataka kupumzika siku za weekend bora waruhusu daladala ziendelee kutoa huduma kwa wananchi.
Vituo vya Manyanya, Mkwanjuni, Morocco, Usalama, Magomeni, Fire, Manzese, Leo mida ya asubuhi vilikuwa vimejaa abiria wengi sana na wengi wao walichewa makazini.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wananchi wanapata usumbufu mkubwa mno kutoka kwenye haya mabasi ya mwendokasi siku za weekend, Jumamosi na Jumapili.
Hawa wamiliki wa haya mabasi wanatumia mabasi machane mno wananchi wanajazana kwenye vituo kwa wanasubiri mabasi zaidi ya masaa mawili mpaka matatu halafu tunaita mwendo kasi.
Kama wanataka kupumzika siku za weekend bora waruhusu daladala ziendelee kutoa huduma kwa wananchi.
Vituo vya Manyanya, Mkwanjuni, Morocco, Usalama, Magomeni, Fire, Manzese, Leo mida ya asubuhi vilikuwa vimejaa abiria wengi sana na wengi wao walichewa makazini.