Recent content by Carldozo

  1. Carldozo

    JamiiForums Tanzania Maswali ya interview TAESA

    Nimeshaanza internship, je kuna mkataba natakiwa kusign na taesa? Maana sijui kama nitapata hizo fedha za kujikimu.
  2. Carldozo

    JamiiForums Tanzania Maswali ya interview TAESA

    Mtu Mbadi kuna process za kufanya taesa ili akaunti yangu ibadilike? Maana nimeshafanya interview na internship nimeshaanza tangu 1 March, lakini akaunti yangu bado inaonesha pending interview.
  3. Carldozo

    JamiiForums Tanzania Maswali ya interview TAESA

    Nimekupata mkuu
  4. Carldozo

    JamiiForums Tanzania Maswali ya interview TAESA

    "Ukipata nafasi lakini sehem" sentensi yako imeishia njiani mkuu
  5. Carldozo

    JamiiForums Tanzania Maswali ya interview TAESA

    Taesa wanalipa?
  6. Carldozo

    JamiiForums Tanzania Written interview question credit officer,m fuko wa self self MF

    Hivi hii position inahitaji watu wangapi?
  7. Carldozo

    JamiiForums Tanzania Nani ameshawahi kupata Kazi au internship kupitia TaESA (Tanzania Employment Agency)?

    Vizuri, nami nimepata kwenye Bank moja hapa mjini, nilifanya interview katikati ya wiki iliyopita. Now nasubiri kuitwa kuanza kazi.
  8. Carldozo

    JamiiForums Tanzania Nani ameshawahi kupata Kazi au internship kupitia TaESA (Tanzania Employment Agency)?

    Umeshaanza kazi hapo benki?
  9. Carldozo

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Applicant
  10. Carldozo

    JamiiForums Tanzania Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Education : Bachelor of Banking and Finance Experience : Accountant (6 months), Stock Supervisor (1 year) Dar es salaam +255628205715
  11. Carldozo

    JamiiForums Tanzania Nani ameshawahi kupata Kazi au internship kupitia TaESA (Tanzania Employment Agency)?

    Unavaa kama unaenda kwenye interview?
  12. Carldozo

    JamiiForums Tanzania Nani ameshawahi kupata Kazi au internship kupitia TaESA (Tanzania Employment Agency)?

    Nikibook training. Inabidi niende ofisini kwao kufanya training?
  13. Carldozo

    JamiiForums Tanzania Must see Movies

    Action and war
Back
Top Bottom