Aisee wanajamvi leo nimepigwa faini kwa kosa la kutosimama kwenye Zebra. Sio kupunguza mwendo ni kutosimama kabisa.
Nilikuwa sijui kama ndio hivyo.
Kwan nilipunguza mwendo na hakukuwa na watu kabisa wanaosubiria kuvuka basi nikaendelea kuendesha mbele ndio nakutana na trafic akanissimamisha...
Wadau naomba kujua ni kondomu zipi nzuri kwa tendo, yaani zile ambazo haziumizi na ambazo ukivaa na kufanya tendo kama vile unakula kavukavu.
Ni zipi hizoo?
Msaada plzzzz
Wakubwa,
Msaada kidogo,
Ninataka kununua tu eneo ambalo mtu ananiuzia, ninataka kujua nitahakikisha vipi kama hapa sipigwi na pia kujua kwamba hili eneo ana miliki kihalali. Eneo lenyewe lipo Kibaha
Ni vitu gani hasa vya kufanya kuhakikisha hapa kwamba sipigwi nanunua kihalali
Naombeni...
Dk mi nafikiri pia kuna madk ambao hawana ushauri mzuri pindi tu wakikupima na kuona kuwa pressure iko juu basi wanakuanzishia dawa hapo hapo. Yaan hawakupi labda chansi ya kuweza kuregulate pressure kwa muda.
Mm ni muhanga ninatumia dawa nadhan mwaka wa 5 huu ila ninataka kuacha lakin naona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.