Recent content by carie

  1. C

    Kiwanja kilichopimwa kinauzwa lindi

    Bado huo mradi una kasoro. Kamati ya Bunge na Waziri Hawa Ghasia wameupiga stooop!
  2. C

    Wabaya wa Lowassa wazidi kuumbuka

    EL hakuna mfano wakuu. Huyu ni mtu wa watu
  3. C

    Nani anafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani? andika jina hapa chini bila chuki...

    Mkuu kwani Magufuli ni Mnyamwezi/Msukuma? Kwa staili hii mpatie Mzee 6 Mnyamwezi halisi mzigo ataubeba!!
  4. C

    TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

    You have no shame CDM inahusikaje hapa shame on u
  5. C

    Mulugo: Division Five haipo na sifuri ipo palepale

    Hakuna wa kumwamini, tusubiri tu leo vijana wa Form IV wameanza pepa. Wakitoa majibu tutajua nani mwongo na nani mkweli kama Div 5 au 0, yangu macho time will tell
  6. C

    Maaskofu kuipelekeka serikali mahakamani kuhusu kuchinja nyama

    Wakuu hebu nijuze, kama samaki nao ni kitoweo hivi nani anapaswa kuwachinja mashehe au maaskofu? Mbona tunachinja wenyewe kilaini? Je na hili linahitaji kuwa kwenye katiba?
  7. C

    Picha: Maaskofu watoa tamko kuchomwa kwa makanisa jijini Dar es salaam

    Amina watumishi wa Mungu! Ni heri busara kuliko shari
  8. C

    Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

    Songa mbele mwanangu liwalo na liwe!
  9. C

    Bingu Mutharika afariki rasmi

    Rip Mutharika
Back
Top Bottom