Recent content by Carica_papaya

  1. C

    Joseph Musukuma: Kikokotoo kinawaumiza wananchi, tunatengeneza taifa la wezi

    Your stupid.. imagine Daktari bingwa wa upasuaji Moyo/ ubongo/ tumbo/ akina Mama.. muda wote anawaza kutibu watoto wako... hana biashara huko nje ... hana mambo mengi.. yeye anawqza kufanya operation kuokoa maisha yako.. leo unamtukanA....!!!
  2. C

    Israel imeshambuliwa kwa aibu na uzito wa kujibu ndio huu hapa

    Watu wanashabikia Vita.. wakati vita inapokuepo roho za Binadamu wenzetu hutoweka
  3. C

    Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

    Mtafute huyo mbunge akusaidie kukupangia Matumizi ya pesa zako unazozipata kidogo kidogo kwa formula nzuri hadi kufa kwako
  4. C

    Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

    Mbona SUA walikua wanatoa product nzuri.. imekuaje kwa huyu?? Amekiaibisha chuo
  5. C

    Yanga acheni Ushamba, barua mliyoandika ni ishara ya kukosa ukomavu

    Umeandika Pumba Mbona hukuwaambia Wenzako aibu na ushamba walioufanya South??
  6. C

    Goli la Yanga dhidi ya Mamelodi mzozo ni mkubwa South Africa kuliko Tanzania, CAF inapoteza credibility

    Mwanyeto ali relax.. At least Gedwe aliforce Wachezaji wamezubaa tu.. Wydad walitoa timu nje kushinik8zA..
  7. C

    Amos Makalla Mwenezi mpya CCM Taifa, Ally Hapi Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi

    Weww wa 2000 unataka akina Mwijaku na Baba level... wawe Waenezi
  8. C

    Hatimaye nimepata gono, kumbe ndo inauma namna hii?

    Gono lipo kwa kasi UkiamuA kuwa Malaya ..Tumia condom.. zinasaidia!! Daktari atakuuliza umeoA??/ una Girl friend Mwengine.. kumbe anaogopA kukuulizA weww ni MalayA??? Ili ajue tatizo limeanzia wapi na jinsi ya kutibu!!
  9. C

    Pacome Zouzou ni legelege sana, amevunjika kwa sababu amekutana na chuma cha pua Yahya Zayd

    Kuna mkakati wa kuumiza wachezaji wa Yanga 1. Okrah 2. Aucho 3. Pakome 4. Yao Naishauri Yanga na wao waanze na 1. Chama
  10. C

    Gamondi anafanya sana makosa kumtumia Pacome ilihali ni majeruhi

    Gamondi ana Plan A tu.. Kujaza viungo katikati na kutegemeA ku penetrate katikati.. hana plan B ya Mawinga Ndio maana Walimtoa Moloko bila sababu ya Msingi Halafu Gede yupo slow na hatafuti mipira
  11. C

    Nashauri: Kuongea Kiingereza kwa unyoofu (fluency) ibaki kuwa kigezo cha kumpima Mtanzania mwenye Degree

    Utakutana na litoto very stupid ( Engineer; Md) halina hata content wala Moral.. unalipa kazi za juu kwa kigezo cha Kiingereza kwani Italy, Spain, china, Jzpan, Russia, German, France wanaongea kimombo???
  12. C

    Simba yawaonesha Yanga namna ya kufuzu robo fainali

    Wachezaji wa Galaxy wana Vitambi Cheki yule Kipa!!
Back
Top Bottom