1. Tufanye recruitment mpya ya Madereva.. hawana Customers care.. wamejisahau.. wanapitiliza Vituo bila sababu za Msingi/ Kufunga / kuchelewa kufungua Milango kwa abiria
2. Tuwe na kituo cha matengenezo.. empowering financially & Human resources.. Technical staffs
Polepole anapewa coverage kubwa.. Wanaomjua watupe CV yake kuanzia akisoma shule ya Msingi Mbuyuni/ Shule inatazamana na St Peters.. na alifundishwa na Mama Magufuri. Darasa la akina Kajala
Polepole anapewa coverage kubwa.. Wanaomjua watupe CV yake kuanzia akisoma shule ya Msingi Mbuyuni/ Shule inatazamana na St Peters.. na alifundishwa na Mama Magufuri. Darasa la akina Kajala
Polepole anapewa coverage kubwa.. Wanaomjua watupe CV yake kuanzia akisoma shule ya Msingi Mbuyuni/ Shule inatazamana na St Peters.. na alifundishwa na Mama Magufuri. Darasa la akina Kajala
Political Strategy ya kukusanya watu... kutukana Serikali.. ni outdated Politics.. CDM watamkumbuka Mboye Master Mind.. for 5 yrs Chama hakitakua na Mbunge.. Watu wamekalia No.. Reforms.. No Election# Upuuzi..
Heche ana Uwezo Mdogo sana!.. kutoa mapovu kwenye Mikutano! You wont compare Easter...
1. Budget na Utekelezeji wake ni Vitu viwili tofauti
2. Budget inajumuisha fedha za Wahisani ( Donors)
Uganda wanaweza kuwa na Budget kubwa lakini ikawa imeelemea kwenye Utegemezi
3. Tanzania imeendelea kupunguza Utegemezi kutoka nje
4. Vyanzo vya Mapato... Tanzania amefuta Kodi nyingi zilizokua...
Huu ni udhalilishaji Wanawake Kupitia mitandao ya kijamii
Kuchukua picha ya mtu bila idhini yake kisha kuweka kwenye mitandao
Kila mtu ana haki ya kuishi atakavyo ikiwemo Mavazi na hujui ni kipindi gani amevaa hivi
Hauna haki ya kuwapangia wengine zaidi ya Familia yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.