Your stupid.. imagine Daktari bingwa wa upasuaji Moyo/ ubongo/ tumbo/ akina Mama.. muda wote anawaza kutibu watoto wako... hana biashara huko nje ... hana mambo mengi.. yeye anawqza kufanya operation kuokoa maisha yako.. leo unamtukanA....!!!
Gono lipo kwa kasi
UkiamuA kuwa Malaya ..Tumia condom.. zinasaidia!!
Daktari atakuuliza umeoA??/ una Girl friend Mwengine.. kumbe anaogopA kukuulizA weww ni MalayA??? Ili ajue tatizo limeanzia wapi na jinsi ya kutibu!!
Gamondi ana Plan A tu.. Kujaza viungo katikati na kutegemeA ku penetrate katikati.. hana plan B ya Mawinga
Ndio maana Walimtoa Moloko bila sababu ya Msingi
Halafu Gede yupo slow na hatafuti mipira
Utakutana na litoto very stupid ( Engineer; Md) halina hata content wala Moral.. unalipa kazi za juu kwa kigezo cha Kiingereza kwani Italy, Spain, china, Jzpan, Russia, German, France wanaongea kimombo???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.