Nilikuwa na mpango wa kurudi ili kusaidia kupiga hatua katika sekta ya afya....kwa yanayoendelea nimekatishwa sana tamaa, wacha tuendelee kupambana katika nchi za watu.
Mkuu lizaboni nakuheshimu sana, mimi pia sio shabiki wa vijana wa upinzani aina ya kina saanane lakini wanaposema ukweli lazima tuukubali kwa maendeleo ya taifa.Nchi ni yetu sote, tunaoumia ni sisi wote hasa ndugu zako walio kule kwenu kijijini wanaokosa huduma muhimu.
Ssaa tukikabidhi chama gani mkuu? Hiki wanachozungusha mikono? naona kama bado hivi, sababu hata mzee wetu wa monduli alisema ’tusipoitoa ccm mwaka huu tusubiri miaka 50 ijayo’ so safari ni jdefu hata wenyewe wanajua.
Hi
Mkuu naona povu kweli kweli, pole bhana yawezekana nyie ndo wanufaika wenyewe.Muitaliano kapigwa, hau hujasoma vzr nini?? Kwa lugha nyingine unaweza husisha hii issue na utapeli ndani yake.Pole mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.