Recent content by Car and Spear dealer

  1. C

    Natafuta kazi ya Sales, nina uzoefu wa miaka 3

    Malipo ni kwa commission, juhudi yako ya mauzo ndio kujipatia kwako kipato kingi, Pia ukimuunganisha mtu mpya kwa ajili ya mauzo, unakua unalipwa commission Mshahara wa mwezi hakuna Sent using Jamii Forums mobile app
  2. C

    NATAFUTA AJIRA NINA DIPLOMA YA PROCUREMENT.

    bodo???? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. C

    Natafuta kazi ya Sales, nina uzoefu wa miaka 3

    Vipi unaweza fanya sales ya forever living products?? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. C

    Wizara ya Elimu: Undergraduate Scholarship Opportunities at South Korea – Second Cohort September, 2020 Intake

    Mkuu unaweza ukaorodhesha hapa hizo kozi ulizosema kuwa hazina msaada wowote?? Na pia tunaomba utu orodheshe kozi unazoona wewe kuwa zina msaada?? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. C

    Kwa yeyote anaeweza kufanya kazi yeyote wakati wa free time aje inbox

    Unawaokopa sana wazee wa Gnld, forever living na forex?? Walikufanya nini!? Embu funguka Sent using Jamii Forums mobile app
  6. C

    Hivi WAHESHIMIWA ni akina nani, ni WANANCHI au ni VIONGOZI wanaotumwa na wananchi??

    Ni kwamba hii post watu hawajaiona, au wanafanya kusudi kutokuchangia?? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. C

    Mrundikano kitaa: Kozi hizi zipigwe stop miaka mitatu, kazi zinatoka taratibu kwa wahitimu

    Kwa hivi sasa kila kozi hivi sasa ni issue kwenye Ajira, Na tatizo wala sio kozi, Tatizo ni hali ya soko la ajira Sent using Jamii Forums mobile app
  8. C

    Mrundikano kitaa: Kozi hizi zipigwe stop miaka mitatu, kazi zinatoka taratibu kwa wahitimu

    Marketing???, Business Administration !!?? Are you sure???? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. C

    Natafuta mdada wa kujitolea kama Customer Care

    Ok Sent using Jamii Forums mobile app
  10. C

    Natafuta mdada wa kujitolea kama Customer Care

    Hapa unaemtafuta ni Sales Executive, na sio Customer Care Sent using Jamii Forums mobile app
  11. C

    Direct Sales Executive Remuneration

    Hakuna ulipokosea, Sio kwamba kila alie apply angeitwa, Subiri wakati wako bado, Sio mbaya ukiendelea kumpiga tafu mzee wako Mkulima ili siku zisonge Sent using Jamii Forums mobile app
  12. C

    Ushauri jamani bandugu

    Tatizo namba moja, Atakua anachagua kazi, mbona kazi zipo nyingi sana, ila sisi wasomi tuna matarajio ya kazi fulani fulani ambayo inapelekea kuchagua kazi Sent using Jamii Forums mobile app
  13. C

    Je uteuzi wa Hussein Kattanga kwenda Idara ya mahakama ni horizontal au Vetical growth

    Umejibu kirahisi sana Sent using Jamii Forums mobile app
  14. C

    Je uteuzi wa Hussein Kattanga kwenda Idara ya mahakama ni horizontal au Vetical growth

    Inakuaje kafanya ufisadi Mahakamani, Kwa mujibu wako!!, Afu Rais anamteuwa tena?? Kwa nini?? Na Rais huwa anawaondoa watu wakihusisha na ufisadi Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom