Uhamuzi wa either kwenda kusoma au hapana na ukasome course gani inategemea na malengo yako ya baadae,unajiona wapi miaka 5 au 10 ijayo.
Hata hivyo wakati unafanya maamuzi ni vizuri kuzingatia yafuatayo ili usije kuwa dissapointed huko mbele au ukasema ningejua hiki na hiki,
(i) Ukienda kusoma...
We unaandika kwa kuendeshwa na chuki binafsi kwa Magufuli with very poor analysis.
We hata haujui chanzo cha kushuka uzalishaji wa sukari kwenye viwanda vyetu ni mashamba ya miwa kujaa maji kutokana na mvua za elnino za juzi. Hapo serikali ya awamu ya 5 inahusikaje?
Kwa mtizamo wangu wewe ndio unakuza tatizo sababu mwanamke inaonekana anakutawala na anajua hauwezi kumuacha ndio maana anakuonesha dharau na kukujibu anavyotaka.
Katika maisha kipaumbele cha kwanza inatakiwa kuwa furaha na amani kwako kabla ya mtu mwingine. Kukaa kwenye ndoa ya aina hiyo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.