Recent content by capitano911

  1. C

    Kusitishwa Mradi wa Bagamoyo SEZ kumedhihirisha udhaifu wa Rais Magufuli kwenye Uchumi na Diplomasia

    Nadhani mjadala huu ni mkubwa sana kuushinda uwezo wako, tafuta mada nyingine ya uwezo wako "uirukie".
  2. C

    Kusitishwa Mradi wa Bagamoyo SEZ kumedhihirisha udhaifu wa Rais Magufuli kwenye Uchumi na Diplomasia

    Mbona matusi tena mzee...! Kwani mimi nimesema uyo "financier" anafaa? Comment yako inadhihirisha mambo kadhaa 1/ uwezo mdogo ulio nao kwenye mijadala, 2/ umahiri wako wa kupenda kumshambulia mtu badala ya hoja. Usikubali watu wakaufaham udhaifu wako kirahisi namna hiyo.
  3. C

    Hivi ni kwanini Watanzania wameisusa TBC , hata baada ya local Channels kuzimwa ?

    Ubora wa vipindi hakuna, Creativity zero, Ubora wa picha mdogo sana, Watangazaji ....... Vipindi vya kuvutia hakuna. Sasa unajiuliza "kiukweli kabisa" unaangalia nini TBC?? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. C

    Uchambuzi mfupi kuhusu serikali kupanga viwango vya fedha ya ndani dhidi ya fedha za kigeni

    Huyu wa shirika la posta anataka tujidanganye kwamba shilingi ina nguvu kuliko dollar, Wakat hali halisi tunaifaham(na yeye pia anaifaham) kwa kisingizio tuu cha uzalendo?? Huu utakua ni uzalendo wa "kijinga". Nadhani uzalendo wa kweli ni kuifanya shilingi yetu ikue iwe na nguvu against hizo...
  5. C

    TTCL, Benki ya Posta, ATC, TRL taswira ya ujamaa

    Haya yote yangeweza kudhibitiwa na sheria madhubuti. Mfano, sheria ingependekeza uwiano mzuri kazini kati ya wageni na watanzania (ambao watatakiwa wengi >80%), sheria/serikali kuhakikisha wananchi wake wanalipwa vizuri. Nadhani makampuni binafsi wangekubaliana na haya kwanza kabla ya kuanzisha...
  6. C

    Godbless Lema: CHADEMA imepata baraka kuondokewa na Lowassa

    Childish response Sent using Jamii Forums mobile app
  7. C

    Tundu Lissu: Mhe. Lowassa Sasa mwendo wa 'ugenini' umemshinda. Misalaba ya upinzani imekuwa mizito sana. Ameamua kurudi 'nyumbani' kupumzika

    Such a well organized respond from the top member of the opposition.. hii ndo kauli inayoonyesha kukomaa kisiasa, na sio wale wengine wanaotukana bila ya kujua wanajichafua wenyewe kwa kuonekana kama watu wasiokua na msimamo, malengo wala muelekeo. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. C

    Chato: Wanaosubiri CRDB ifunge tawi lake, watasubiri milele na watakufa bila kelele

    Jengo linalokodishwa ni jengo lao la zamani, baada ya kujenga jipya (ambapo ndipo walipohamishia shughuli zao kwa sasa) wameona walikodishe lile la zamani. Kuna ubaya gani katika hilo? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. C

    Acheni siasa; TUGHE, NUMET, TUCTA, RAAWU, TUIKO, CWT, CHODAWU; mkowapi?

    Hivi vyama kazi yao kubwa ni kukusanya fedha kitoka kwa wanachama wao kwa ajili kununulia tisheti za mei mosi tuu, hilo ndo wanalolimudu. Wamelidhihirisha hili hasa baada ya kushindwa kuwasemea na kuwatetea wanachama wao pale inapowabidi kufanya hivyo.
  10. C

    Tathmini hoja za EU. Kuna muongo na uongo, kuna mkweli na ukweli. Kati ya EU na Balozi Mahiga, nani muongo, nani mkweli, watanzania tumwamini nani?.

    Sasa mbona bandiko lako tayari limeshaegemea kwamba waraka wa EU ni uongo na mahiga ni mkweli. Yepi maoni yako kwenye hili, unadhani nani muongo kati ya EU na mahiga (Just draw your final conclusion directly, usizunguke zunguke saaaana)
  11. C

    Hassan Ngoma amponda Bulaya kuhusu kupeleka mswada binafsi bungeni.....auliza alikuwa wapi wakati sheria inapitishwa?

    TUCTA imeendelea kuwadhihirishia wafanyakazi kwamba yenyew ipo kwa ajili ya sherehe zs mei mosi tuu na sio vinginevyo
  12. C

    Zitto: Nitakwenda TAKUKURU kwa roho nyeupe. Nawataka wawe tayari kusema hadharani nitakayowaambia na pia kuyachunguza

    Na kisha kumuweka kizuizini mtoa taarifa hadi mamlaka husika zitakapojiridhisha na maelezo aliyoyatoa.
  13. C

    Prof. Kitila Mkumbo: Wananchi wajinga huchagua kiongozi mjinga

    Nafikiri ungejiuliza kwanza kama je, viongozi waliochaguliwa nia wajinga? Jibu utalolipata hapo kwenye swali hilo litajibu pia maswali yako mengine
Back
Top Bottom