Nafikir mkioana itakuwa poa maana hz bili za umeme na maji na vyakula itakuwa sehem ya bajeti yenu kuliko sasa kila mtu na bajeti yakr mimi nakushauli mioane tu
Kimsingi acha upinzani ufe maana hakuna namna na hii ndiobsabab wakati watanzania wanaibuka na kuwaamni wenyew wanajikologa wenyew kwajinsi hii ikulu itabakia story na kelele majukwaani binafsi nilimwamini sana lipumba lkn katika hili its over kurudi ofcn kwako kwa jinsi ile kweli pale kuna ofc...
Kaka hata sikuungi mkono kwamba mlimchagua kikwete ili apitishe mahakama ya kadhi sasa amegoma sasa mnatafut mwingne hii sio sahihi chagua kiongoz bor nasio wakupitisha mamb yenu lkn pia km mwenzenu kawagomea hamuoni km yawezekana jambo hili hakuwezekani nawashauri mjipange wenyewe km alivyosema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.