Jamaa umezingua sana kuzileta hizo picha huku jf hata Kama umeficha sura zetu, ila next time hatuwezi kukaa na wewe kupiga Monde hizi pigo za kishamba yaani unalialia kiasi hiki, mkuu umezingua sana aiseee
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie jamaa mnaotumia chini ya elfu 50 kwa cku mnasubiri nn kuingia kwenye orodha ya matajiri Tanzania ?? Daaaah
Supu asubuhi + maji =6000/
Mchana (lunch) = 6000/
Jioni 5000/
Gambe na washkaji = 80,000/
Bado Malaya ahongwe
Aiseeee hebu tuachene na hizi hesabu tunaweza katishana tamaa bure...
Kwa kifupi ujenzi wa barabara ya zege ni gharama sana ukilinganisha na hizi za lami tunazojenga hapa bongo, yaani
Kwa haraka haraka 5km za zege unaweza jenga 10km hadi 15km za lami yetu hii inayoweza kuishi miaka 10
Sent using Jamii Forums mobile app
Elfu 7000/ uliyolipwa ikiisha hutakua na cha kuandika Kama alifanya ujinga kwa nn asitukanwe yy ni Nani ??? Ogopa kwenda kutafuta suluhu kwa wanachuo wenye akili timamu Kama Matiku Matare wakati hujajipanga sio hawa unga wa ngano wa Sasa wasaliti wakubwa warembo na pengine misukule ya lumumba...
Matiku J Matare anatajwa kuwa kiongozi wa mgomo mkubwa kabisa kuwahi kutokea pale Chuo Kikuu cha Dar er Salaam (UDSM).
Huyu mwamba anatajwa kuhusika katika kuanzisha mgomo uliopelekea chuo hicho kufungwa miaka ya 1989, Matiku Matare anatajwa kuwa kiongozi jasiri na mwenye kujiamini sana enzi...
Haya matoto ni majinga sana pumbavu zao
Ndugu yangu Matiku Matare ulieanzisha mgomo udsm mika ya 80+ na kupelekea chuo kufungwa lkn pia ilimchana makavu muheshimiwa mwinyi na kumtukana hadharani
Hongera sana kwa ujasiri huo na popote ulipo Mungu akutangulie wewe ni mfano wa kuigwa leo udsm...
Mkuu acha Jamaa apambane aiseee
Mm na degree yangu ya civil engineering first class Niko hapa maeneo ya mwenge nauza supu ya pweza yenye Viagra maisha ni kujiongeza aiseee
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona thread yako ina masaa 16 na unawachangiaji zaidi ya 300 jua kua huna tofauti na huyu unae mchafua bwana TB Joshua, hivi ndivyo walivyo mkuu hata wewe kesho ukianza kama TB Joshua kwa kuwaaminisha kuhusu mikojo yako kua ni upako watakuja kama mvua
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiduku lilo,, nashukuru kwa makaribisho yako mazuri, hakika upo vzr aiseee niseme tu kwamba ile FRIJI niliyoiona pale kwako cjawahi kuiona sehemu nyingine
Ila mkuu kile kinywaji nilichochukua ambacho ulisema umekinunua tsh 2,800,000/= bado cjakimaliza najipigia mdogo mdogo nikitoka kwenye...
TRA ni mamlaka shirika ni kama tanesco TBS alafu Kuna wakala mfano tanroads
Ila TRA hawana mishahara mikubwa kama ulivyoonyesha kwenye post yako zaidi wanaongoza kwa rushwa na ubadilifu
Karibu sana
Acha uoga baharia. Unavunja sheria namba 13 ya mabaharia hakuna kitu kigumu kama kupata UKIMWI.
Kuna jamaa alimuelewa dada poa mmoja akaamua kumuweka ndani na akaishi nae miaka miwili demu anatumia pumba (ARV) bila mshkaji kujua baada ya miaka miwili ndo jamaa anagundua ikabidi akapime kwa hofu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.