Recent content by canta

  1. C

    Ikibidi nitaacha Utumishi wa Umma ili niendelee kuwa huru

    Hata mimi sijaelewa mkuu
  2. C

    Mbowe na Wenzake 3 wakutwa na kesi ya kujibu. Kesi imeahirishwa hadi Machi 04, 2022 watuhumiwa kuanza kujitetea

    ***** Judge anakomaa mashahidi watajwe majina na anuani zao 😄
  3. C

    Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake 3. Shahidi wa 13, Tumaini Swila kuendelea kutoa ushahidi Februari 15, 2022

    Masikini Shahidi alijua jumatatu ni mbali.. mara imefika na hajamaliza slides 🤣🤣
  4. C

    Katika Sikukuu hii ya Watakatifu Wote tuwaombe Julius Nyerere, Benjamin Mkapa na John Magufuli waliombee taifa la Tanzania

    Mhuburi 9:5 Kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa, lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.
  5. C

    Ushauri kuhusu machinga: TFF wapewe ofisi mjini, Karume pageuzwe kituo cha biashara

    Machinga wanavyobembelezwa kama mtoto wa mwalimu wa darasa 😄
  6. C

    Mapendekezo: Shule ya za Sekondari Benjamin, Msingi Uhuru na Kiwanda cha Bia zihamishwe Kariakoo waachiwe wamachinga hilo eneo

    Yaani tuhamishe shule na kiwanda kuwapisha wakwepa Kodi? Waache kuiibia serikali mapato. Wakachukue leseni wafanye biashara rasmi serikali ipate Kodi. Over
  7. C

    Serikali imewaibia Wamachinga?

    Kwani walikujaje? Nadhani wanaondoka kama walivyokuja
  8. C

    Kimya cha TAKUKURU na wizi wa kura.

    Sio TAKUKURU hii iliyopuuza kwa makusudi ushahidi dhahili uliowasilishwa na mbunge Nassari. Tunahitaji kubadilisha mfumo wetu (katiba) ili kuvipa vyombo vyetu uhuru wa kutekeleza wajibu wao kwa weledi bila kuingiliwa na mhimili mwingine wowote.
  9. C

    Waziri Lugola amtimua Kamishna Jenerali wa Magereza, Juma Malewa kwenye kikao kwa kuchelewa

    Naliona anguko lake. Kwa mwendo huu atajikuta anakosa ushirikiano wa kutosha kutoka katika vitengo vilivyo chini ya wizara yake. Ajichunge sana, sifa zitampoteza!
  10. C

    Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa!

    utamtofautishaje mkulu na mwenyekiti wa chama? Wakati gani anakua Rais na wakati gani anakua mwenyekiti wa chama??
Back
Top Bottom