Mhuburi 9:5
Kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa, lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.
Yaani tuhamishe shule na kiwanda kuwapisha wakwepa Kodi?
Waache kuiibia serikali mapato. Wakachukue leseni wafanye biashara rasmi serikali ipate Kodi. Over
Sio TAKUKURU hii iliyopuuza kwa makusudi ushahidi dhahili uliowasilishwa na mbunge Nassari. Tunahitaji kubadilisha mfumo wetu (katiba) ili kuvipa vyombo vyetu uhuru wa kutekeleza wajibu wao kwa weledi bila kuingiliwa na mhimili mwingine wowote.
Naliona anguko lake.
Kwa mwendo huu atajikuta anakosa ushirikiano wa kutosha kutoka katika vitengo vilivyo chini ya wizara yake.
Ajichunge sana, sifa zitampoteza!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.