johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,600
- 141,419
Kwanza kabisa tuliambiwa viongozi waandamizi wa wakati huo Zitto Kabwe na Prof Kitila Mkumbo walitaka kuupindua uongozi halali wa Mbowe.
Kisha tuliambiwa kipengele cha uchaguzi mkuu wa Rais 2015 ameuziwa mzee Lowassa na ofisi zake zikawa Mikocheni badala ya Ufipa st.
Baadae tukaambiwa wabunge wa Chadema wananunuliwa pale Lumumba na kupewa uwaziri
Sasa tumeambiwa wabunge 19 wa Chadema wameingia bungeni kwa kughushi barua ya Katibu mkuu tena mwingine walimtoa.jela usiku.
Je, Chadema bado ina sifa ya kuitwa chama cha siasa?
Kisha tuliambiwa kipengele cha uchaguzi mkuu wa Rais 2015 ameuziwa mzee Lowassa na ofisi zake zikawa Mikocheni badala ya Ufipa st.
Baadae tukaambiwa wabunge wa Chadema wananunuliwa pale Lumumba na kupewa uwaziri
Sasa tumeambiwa wabunge 19 wa Chadema wameingia bungeni kwa kughushi barua ya Katibu mkuu tena mwingine walimtoa.jela usiku.
Je, Chadema bado ina sifa ya kuitwa chama cha siasa?