Recent content by Cannivo

  1. C

    Yaliyojiri uwanja wa CCM Kirumba-Mwanza: Mkutano wa kufunga kampeni za CCM, Oktoba 24

    Pamoja na yote hayo, wakuu wa nchi wapo Mwanza, Wasanii wote Mwanza achilia mbali watu kusombwa toka Geita, Ukerewe, Sengerema, Magu, Kisesa bado Wenje kawatingisha hatari sana hiii
  2. C

    Yaliyojiri uwanja wa CCM Kirumba-Mwanza: Mkutano wa kufunga kampeni za CCM, Oktoba 24

    Kuhusu Wenje na Haines wanasubiri kuhapishwa tu
  3. C

    Vijana tuna akili zetu tunataka mabadilikooo

    Hawana jipya tena, wamebakiza masaa michache sana kesho mapemaaaaa Lowasa
  4. C

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Siyo live hiyo, that's recoded story. Vp mbona hawazungumzii Escro, Epa na mengine yote yale?
  5. C

    Piga kura chagua mgombea, usichague chama

    Lowasa ndiyo habari ya mujini
  6. C

    Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

    Kama huna chakuongea usituharibie muda wetu
  7. C

    Mkutano wa Mgombea Urais wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Kisarawe

    Tuwaombee wapumzike kwaamani
  8. C

    UKAWA waongea na Wanahabari, Walalamikia Tume ya Uchaguzi na Rais Kikwete

    Tutafutata nyayo zenu,tafadhali kagueni kila kitu hata mkikuta nukta imewekwa sehemu isiyo sahihi plz shout.
  9. C

    Tiddo Muhando tutakuwa live kuripoti kila kitu muda wote wa uchaguzi

    Habari hii imetuumiza sana, tutalipinga kwa nguvu zetu zote.
  10. C

    Matokeo ya kidato cha sita ya mbunge wa Simanjiro, Ole Sendeka

    Kweli anakila sababu zakusema maneno yale, ila pia tusishangae ndani ya ccm wengi hawaamini kinachotokea
  11. C

    Siku ya leo 14/10/2015 ni mwiba kwa Lowassa

    Pumzika kwa amani ccm
Back
Top Bottom