Recent content by cangeofrey

  1. C

    Yamenifika hapa: Niliambiwa eti baby wangu ana simu mbili

    ni kwel fanya hivo mkuu cc binadamu tunamapito mengi, huo ndio upendo!
  2. C

    JE WAJUA Kuhusu mapenzi mahusiano na urafiki

    jaman msipende kumpuuza, kaza buti mkuu utapata!
  3. C

    Am tired aisee!

    kua na subira utapata! but tamaa ilimuua fisi!
  4. C

    Je, Umewahi kuwaza faida za mke kuwa na mwanaume mwingine?

    cjajua mtoa uzi umelogwa au kulikoni? maana hujafikiri kabla ya kutoa uzi wako mkuu!
  5. C

    Mke wa kuoa

    Habari wana Jf, Mimi natafuta mke wa kuoa, awe mcha mungu, umri miaka 22 hadi 35. Tafadhali ayetayari ani PM
  6. C

    Nadhani huyu dada atakimaliza kifua changu

    pole kaka! lkn kua makn!
  7. C

    Natafuta mume mwema

    Mi npo tayar dada
  8. C

    Natafuta Mume mwema

  9. C

    Natafuta mke wa kuoana nae

    Mimi naitwa Can, natafuta mke wa kuoa/kuoana naye awe na sura nzuri, tabia nzuri mcha Mungu(mkristo), Elimu yoyote, kabila lolote na Taifa sibagui. Note that:~kua siriazi sifanyi mzaha, aliyetayari ani pm Asanteni
  10. C

    Natafuta mke wa kuoa

    Mimi naitwa Can Geofrey nina umri wa miaka 32, natafuta mke wa kuoa awe mzuri wa sura na mwenye tabia nzuri, mkiristo, mwenye umri miaka 18~27, kabila lolote, taifa lolote, elimu yoyote sibagui. Alietayari ani pm
  11. C

    Itawezekana mimi na yeye kuoana kweli?

    inawezekana, ila sikiliza moyo unataka nn
  12. C

    Mpenzi wangu wa zamani ananitia majaribuni

    nenda kaka kale ujana!
Back
Top Bottom