Natafuta Mume mwema

Natafuta Mume mwema

Sikuhukumu dada yangu ila kwa muono wangu kuna kitu hakiko sawa kwa jinsi unavyotafuta mume. Kama kweli umeokoka, unampenda Yesu na unamtegemea yeye and you mean it, huwezi kuja kutafuta mchumba mtandaoni/JF. Rudi kwenye biblia angalia/soma vzr uone mume anatafutwaje kibiblia! Unless uwe umetumia wokovu kama fashen tu ndo utatumia style yako uliyotumia.

kwani kwenye bibilia wameandika mume anatafutwaje?,tuliomo humu Jf ndio sisi tupo mtaani,makanisani,miskitini,maofisini na n.k
 
Mambo yakiwaendea kombo mwakimbilia kanisani, mkiwa bado mwalipa hamtako olewa, mkizalishwa mnakimbiwa.... baadae eti binti....
Binti mwisho miaka 21, tena kama hajapata mtoto baada ya hapo ni mwanamke.... Mama... Bibi,..... Kizeee
 
Mimi ni binti wa miaka32 Nina mtoto1 wa miaka5 nimeokoka nampenda yesu umefika wakati nahitaji mwenzi wangu wa maisha awe na umri34-42 awe mwenye mapenz ya kweli atakaenipenda km nilivyo mtafutaji wa maisha km Mimi tuwasiliane kwa email karungimiteni@yahoo.com plz naomba uwe serous na ni muhitaji kweli dada mimi hapa tafadhari nahtaj
 
Mwaya Mungu akutane na haja ya moyo wako. Mume utampata tu hapa jf au nje

Mko wachache watu wa namna hii humu JF siku hizi.

Kila siku duniani watu wema na wa kuwatia moyo wenzao wanazidi kupungua, ndio maana kwenye misiba siku hizi tunanachangishana pesa za kuwalipa watu waje kulia.

Vv
 
Mko wachache watu wa namna hii humu JF siku hizi.

Kila siku duniani watu wema na wa kuwatia moyo wenzao wanazidi kupungua, ndio maana kwenye misiba siku hizi tunanachangishana pesa za kuwalipa watu waje kulia.

Vv

Nashukuru mpendwa. Inawezekana mtu akawa amekata tamaa kweli but neno moja la faraja linaweza kumtia nguvu akasimama tena. Kila mtu anastahili nafasi nyingine tena, no matter amekosea mara ngapi.

Na hatujui ni magumu yapi aliyoyapitia hadi akafikia hiyo situation aliyofikia. Tusiwe wepesi wa kuhukumu. Kisicho cha thamani kwako, kinaweza kuwa cha thamani kwa mwingine.
 
Mungu azidi kukutia nguvu, utampata mke mwema dada...
 
Kuna tatizo kwani mkuu? Unajua ni mazingira gani aliyopitia hadi akawa single mom at that age?

Nimem mind sanaa jamaa alivyomjibu huyo sister. Wakat mwingine tusikimbilie kum judge sana mtu. Wengine wamepitia mitihani mikubwa ya maisha.

Mungu aepushe mbali.
 
Nimem mind sanaa jamaa alivyomjibu. Wakat mwingine tusi m judge sana mtu. Wengine wamepitia mithihani mikubwa ya maisha.

Mungu aepushe mbali.

Exactly brod. Unless u have lived in their lives, then u can judge them. Some shoes are too big to fill
 
Binti mlokole? Hapana.

Usingekuwa mlokole ningekuwaza.
 
Dada yangu.. Pole Sana tungekutana face to face yamkini ningekuwa na Maswali Mengi kidgo ya kukuuliza.. But naomba nikupe Ushauri.. Hujafanya jambo baya kutafuta Mume lkn pia Sio Mpango wa Mungu wewe Usiolewe mpk saiv maybe ts your Choice lkn pia haiko katika utaratibu wa Mungu mwanamke atafute Mume. Mume ndio anatafuta Mke. "Yeyote apatae Mke apata kitu chema" accordng to Bible.. Fikiria kwa Makini ulikosea wapi mpk sasa ukawa haujaolewa? Kama kosa ni lako yamkini ulimuumiza MTU akakuachia laana..ndio inayokutesa.. So Omba Toba juu ya chochote ulichopitia nyuma ambacho kimekuzuia mpk sasa usipate Mume. Halafu Ukimaliza Muombe Mungu Mume Hakika Atakupatia wakufanana na wewe atakuja mwnyw. Ukishndwa Tafuta kanisa la Uhakika na kweli kawaone watumishi watakusaidia zaidi.
 
Sikuhukumu dada yangu ila kwa muono wangu kuna kitu hakiko sawa kwa jinsi unavyotafuta mume. Kama kweli umeokoka, unampenda Yesu na unamtegemea yeye and you mean it, huwezi kuja kutafuta mchumba mtandaoni/JF. Rudi kwenye biblia angalia/soma vzr uone mume anatafutwaje kibiblia! Unless uwe umetumia wokovu kama fashen tu ndo utatumia style yako uliyotumia.

Na wewe ovyo,,,ulitaka atafutiwe kama Isaka alivyotafutiwa au? Jf ni channel ya meeting lakini haumainishi hatopata mtu bora ,,it's just her vetting process ndio ziwe poa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom