We naeeeee! Hebu tupishe atokee nani awaunganishe! Kwani walipokua wanatongozana miaka 9 huko nyuma nani aliwatongozeshea?? Wayamalize wenyewe wasisumbue watu
Si kila mahusiano lazima yawe ndoa mengine ni tuition. Dai hawezi beba hilo zigo alipeleke wapi wakati kuna mabebez wakarez wadogoz weeeengi watamuuuu,jitu halijazaa michirizi mwili mzima km pundamilia ptuuuu atupishe kule Dai haoi bibi bomba alikua anasuuza dushelele tu hapo
Halafu hili Li Imelda hua limbea km nini jisura lake ka kinyago cha mpapure na issue anazofuatiliaga hata haviendani nae,duh kwel mjini shule kila mtu anajua kutafuta namna ya kuishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.