Ni sawa ulivyosema mtoto anatakiwa kutii wazazi wake, lakini sio kila kitu unachoambiwa hata kama kitakuletea athara ni kukukubali tu.
Kuna muda wazazi huwa wanatukosea sana, suala la mapenzi halitakiwi kuingiliwa kama watu wamependana waachwe sio wazazi mnaanza kuwawekea obstacles kwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.