Recent content by Candid Scope

  1. Candid Scope

    Kwanini baadhi ya nguzo huleta matatizo kipindi cha mvua?

    TANESCO zamani nguzo za umeme hizi za milingoti zilidumu hadi miaka 20 na kuendelea kwa sababu licha ya treatment ya kuchemsha kwenye dawa, ziada ilikuwa 1. Shimo la kusimikwa nguzo kulimiminwa zege 2. Baada ya kuisimamisha nguzo ilishindiliwa kwa zege 3. Nguzo zilidumu kipindi kirefu sana...
  2. Candid Scope

    Makazi ya Wananchi 500 Ubungo - Kisiwani (Dar) yapo hatarini, tunaomba Serikali itujengee mifereji ya kusafirisha maji ya mvua kutoka Barabara Kuu

    Kama viwanja hivyo vilipimwa na kuidhinishwa na serikali kwa makazi ya watu, kwa hilo serikali inawajibika kwa kugawia wananchi viwanja vya kujenga maeneo hatarishi. Lakini kama ujenzi ni wa holela kwa kuvamia maeneo kwa kupimiana viwanja kwa hatua za miguu ninyi kwa ninyi, serikali haitabeba...
  3. Candid Scope

    KERO Kujaza Mabango ndani ya Roundabout kunawapa changamoto Madereva kuona upande wa pili

    Manispaa ya Morogoro eneo la mjini mzunguko (roundabout) ilipokuwa stand ya zamani zinapoanzia barabara za: 1. Boma Road 2. Korogwe Road 3. Old Dar es Salaam 4. Barabara iendayo Soko kuu la Kingalu na chuo cha Sokoine Kuna mabango makubwa yamewekwa ndani ya mzunguko na hivyo kuwa kero kwa...
  4. Candid Scope

    Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Mazingira ya ughaibuni yamebadilika sana na yanazidi kubadilika zaidi. Msisha magumu yapo zaidi ughaibuni na sio Afrika. Pamoja na kwamba nchi ya Marekani ukisha ingia huwezi kusumbuliwa kwa kufuatiliwa na kuulizwa uhalali wako wa uhamiaji, shida utakayoipata ni upatikanaji wa kazi bila...
  5. Candid Scope

    Hizi tozo kubwa kwenye uingizaji magari zinalenga nini hasa?

    Sheria za nchi juu ya ushuru hutofautiana kadiri ya mahitaji ya nchi, nafuu kwa watumiaji wa magari na mengineyo. Tanzania tumepata unafuu kwamba unapoinguza gari kodi ya usajiri (registration) unalilipia mara moja ni kwa maisha yote ya gari ndio maana ushuru wa magari upo juu zaidi. Nchi...
  6. Candid Scope

    SoC04 Rais awe na muda wa kufanya kazi ofisini zaidi na kupunguza ziara

    Ningefikiria zaidi juu ya kazi ya Urais kuwa na muda wa kutulia zaidi ofisini licha ya shughuli za kila siku za Rais ofisini, hii itampa muda zaidi wa kuyapitia mambo mbalimbali yahusuyo uamuzi wa rais na mambo mbalimbali ya serikali kabla ya kutoa uamuzi. Mambo mbalimbali ya mikataba na...
  7. Candid Scope

    Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro uboreshwe

    Kati ya Airports nilizoziona kwenye mabara kadhaa, KIA ni moja ya airport chache zenye eneo zuri lisilo na miinuko karibu wala utitiri wa majengo. Mfano Airport ya Zurich huko Switzland barani Ulaya iko bondeni karibu na ziwa Zurich, full mountain ranges na ukichungulua nje mwenye moyo mchache...
  8. Candid Scope

    Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro uboreshwe

    Jadili hoja iliyoletwa, usimjadili metal hoja. Tujifunze kufanya debate kwa ustaarabu
  9. Candid Scope

    Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro uboreshwe

    Ingependeza serikali iweke wazi juu ya ubinafsiswaji wa KIA Airport ili tujue nani ndiye mwajibikaji kwa sasa
  10. Candid Scope

    Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro uboreshwe

    Ndege mbovu ya jeshi la waarabu iliyotelekezwa KIA Airport kwa kipindi kirefu sasa
  11. Candid Scope

    Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro uboreshwe

    Waondoe vyombo visivyofanya kazi pale uwanjani. Kuna gari la zimamoto bovu limetelekezwa pale na bahati mbaya ni karibu na parking ya ndege za abiria. Ile ndege mbovu ya jeshi la waarabu pia iondolewe maana pale sio mahali pa maonyesho ya junky.
  12. Candid Scope

    Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro uboreshwe

    KIA Airport mimepita karibuni nikitokea Doha, walishuka watalii zaidi 200. Bahati ilikuwa asubuhi nimeweza kuona vizuri mandhari na mazingira yake, ni Airport iliyo eneo zuri na panaweza kuwezeshwa kuwa Airport ya kipekee hapa nchini kwani pana nafasi kubwa sana ya kuwezesha kujenga runways...
Back
Top Bottom