Tupo vijana takriban 40 tumetokea 833 jkt tupo mtaani toka mwezi machi mwaka huu baada ya kuambiwa hatuja kidhi vgezo kujiunga na JWTZ japo hapo tunamashaka kidogo
Toka mwaka 2014 tupo ndani ya jeshi na tumeshiriki mambo mengi ya kitaifa kama yafuatayo
1.ule ujenzi wa maabara tulipiga kazi usiku...
Nahitaji kujua kwanini makanisa ya kilokole wanafanya vitu vifuatavyo ukilinganisha na makanisa yasiyo ya kilokole.
1. Kuongea kwa kutumia nguvu kwa wachungaji na lugha ya kukemea kama mtu mwenye hasira.
2. Kunena kwa lugha kwa wachungaji, ina maana padri hawezi?
3. Wanawake kuwa wachungaji...
Hii ni week end ya nne umeme hakuna yani kila j mo na j2 lazima umeme ukatike bila taarifa wala sababu za msingi kutolewa tunashkuru kwa mnacho tufanyia
1.Watu wengi hawajui yule sio mlinz wala mpambe wa rais yule nyuma ya rais anawakilisha majeshi yte na kueleza kuwa hapa mble kuna amili jeshi mkuu.2 wenye jukumu la kumlinda rais ni TIS mwisho hivi canal alindwe ili iweje kwakifp akiwa kweny majukjm ya nje ya kitengo chake anakuwa kama askari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.