Kwa vile wanahama kwa mapenzi yao kwa mtu mmoja, ikitokea mtu huyo akafuatiwa na wasiemtaka, watahama kurudi wapi wakati upinzani utakuwa umeuwawa kwa kitendo chao cha sasa?
Si polisi tu walio mbumbumbu wa suala hili - bali na mwandishi mwenyewe na mhariri wake! Kwa kuchapisha habari hii ikaenda kwa public inaonesha hawajui walifanyalo. Haya ni matokeo jumla ya mfimo wetu mbovu wa elimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.