Wafanye kazi yao sio kujificha nyuma ya ujanja wa Miradi ya kimkakati,kwanini ccm haitaki watu wafurahi kila Kona wanabana,wakandarasi Hadi wanakufa lipeni watu jasho lao.
Shida yetu ni kudhurumiana wenyewe kwa wenyewe,haiwezekani nifanye kazi nilipwe kiduchu. Harafu hakuna soko la bidhaa limekaa vizuri,ni Bora hao vita Iko wazi lakini sisi vita ya dhurma.inatia laana mpaka nchi imedumaa
Mfumo wa uendeshaji siasa za uchawa umetufikisha hapa,kwa sasa umeme unakatika kwa Kasi ya ajabu kuliko hata ule wakati stiglers Gorge haijaanza kufanya kazi,wakati huu.moogoro mpaka ruaha mbuyuni Kuna mashimo yasiyo ya kawaida,majenereta yameharibika yote taasisi za umma,hakuna jambo limekaa...
Kwani Hawa OYA nao unawaonaje.mkuu,hata haya makamouni ya kubahatisha yameweka
makopo ya kamali kila Kona wewe unaonaje,shida njaa zetu ndo zinatutesa.Kila Kona shida tuu.
Mimi niweke wazi kwa nini watu Wana chukua maamuzi magumu,kwa watumishi wa umma BOT imebariki mambo mengi ya ajabu kinyume na ILO,imagine alipoingia mwenda zake aliondoa malipo yafuatayo
1.Pesa ya likizo
2.Overtime
Na nyingine nyingi,kuanzia hapo watumishi wameishi kama njiwa tunduni,hatimae...
Lea wanao,nadhani huo ni msalaba wako,
Kuliwa analiwa ila watoto wakiwa alone unatengeneza bomu jingine.Watakuchukia sababu mama yao anaendelea kupanda sumu,mweke mbali kabisa na mashine yako,na pia inaonyesha unasafiri sana,hakikisha unalinda afya ya akili,ikikupendeza tafuta side chick...
Kuna ratiba imetolewa Leo mchana kuweka makundi ya utoaji pesa,ili kuepusha kuchelewesha muamala,nadhani pia unaleta figisu sababu Celia anajibu issue zote on line, sasa imekuja huku kulalamika kwa wasiojulikana ili iweje mkuu.Nenda Whatsapp group A101 na (802) usome details za utoaji cash.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.