Mhhh, yaani umeandika ukiwa na akili timamu kweli au bas tu nawew uonekane umeandika? BoT, ZRA/TRA zipo Zanzibar kabla huyo anayesema hajakuwa hata Makamo wa Rais!
Hiyo namba 2 si kweli!! Labda chadema ila kwa ambao bado akili hazijawaruka, wapenzi wa dhati wa Magufuli hawawezi wakaacha mapenzi kwa Mwendazake wakayahamishia kwa mtu ambaye hakubakisha tusi la kumtukana Magu alipokuwa hai!! Hawajasahau!!!
Kwani zile nyuz zenu za kumuombea asishinde hiyo nafasi mlifikiri zingeleta manufaa au hasara gani? Prof Janabi ameshinda!! Pole kwa maumivu ya kiroho mbaya unayopitia. Jali afya yako zaidi chuki zitakupunguzia umri wa kuishi duniani hapa!!! Pumbav!!!
Moto umewaka wapi? Munawachanganya Wafuasi wenu!! Kinusuruni chama chenu. Hayo yanayoshauriwa sio ya kuyapuuza moja kwa moja. Tatizo lipo chadema. Kaeni mutafakari kwa mustakbali wa chama chenu.
Wew inaonekana ni mtoto mdogo bado unayesomea pspa. Uanaharakati umeshawashinda wanaoonekana ni wanaume, leo midomo wameifumbuwa, wanabweka kama kundi la mbwa, kila mmoja anasema lake, huisikii tena ile nrnr, mumebakia kutukana tu na kujiliwaza.
Kuna mambo ya kufanyia masihara lakini sio...
Jibu hoja acha kupayuka, usiwe mwehu!! Muda mumekuwa mukiusingizia sanaaaa....tatizo lenu mumechagua mtu ambaye akili zake kazihamisha kutoka kichwani. Sasa amekuwa kama bi kirembwe, kila analokwambieni mnamtii hata kama anakosea. Hana baya, hamuwezi kumshauri mana hashauriki. Mmebakia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.