Kutokana na tatizo la ajira TZ. Nafasi za kazi ni chache kwa upande wa fani za utawala, biashara, utalii na hata uchumi. Ushauri wangu hasa wale wanaenda vyuoni wasome kozi zenye nafasi nying za ajira hasa sayansi kuliko kukazania kozi za sanaa.
Mfn BA. Publc admistration, ambazo ni ngumu...
Mim nina bachelor ya electrical engineering bt ilo tangazo lako halijakizi vigezo vya matangazo ya ajira, ebu fafanua zaid. Na mshahara au posho weka apa na mkataba hakuna.!!
Jaman wenye taarifa kuhusu kuitwa kwenye usaili na wizara ya afya na ustawi wa jamii anijuze. Ni miez sasa imepita tangu watoe post zaid ya hamsin. Ikiwemo post za walfare, env.health, clinical oficer Natanguliza shukran
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.