Watu 10,800 wapitishwa kuwania nafasi 70 tu Uhamiaji!

Katika hili,watu wanapungua kwa style tofauti tofauti.
1.Wengine hawatafika kwa sababu ya kukosa nauli.
2.Wengine watapuuza kwenda kwa kuwa hawana uhakika wa kupata,na kuhofia hasara.
3.Wapo watakao kosa kufika kwa kuwa hawana taarifa kabisa.
4.Kuna wengine tayari wamepata kazi,hivyo hawatafika,kwa mf:mimi.
5.Kuna baadhi ya walioitwa,huenda ni wagonjwa kwa Sasa,na wengne pengine wameshafariki(msinielewe vibaya hapa)

Hivyo,tuwe na uhakika kwmba c chini ya watu elfu5 hawatafika(ni makadirio lakini)
Kwa uliye tayari kwenda,nakusihi usikose kufika,huwezi jua Mungu amekusdia nini kwako kupitia hili.
 
kweli kaz hipo mi nauliza hapo uwanjan ni interview ya aina hipi ambayo watafanyiwa kwa siku 1 watu 10800. anayejua pls.......
 
japo sitaenda kwenye usaili, nawashukuru sana wizara ya mambo ya ndani kwa kuniondolea nuksi ya kutoitwa kwenye usaili.
 
Habari nilizozipata kutoka katika vyanzo vya ndani vya uhamiaji, uamuzi huo umefikiwa baada ya kuhisi harufu kali ya rushwa kama wangeamua ku-shortlist! Wote watakutana na panel, kazi kwao! Hiyo ndo gharama ya rushwa...
 
ahhhhhh aseeee kwanza kuna maofisa wao hawajapandishwa vyoa mbaka leo na wapo kazini pili nilishawai kuitwa kwenye usahili waliitaji watu 19 na kwenye interview tulikuwa 19 lakini walioitwa kwenye mafunzo sikuwepo so geresha tuuu hiyo wenye nafasizao wapo
 
Katika hili,watu wanapungua kwa style tofauti tofauti.
1.Wengine hawatafika kwa sababu ya kukosa nauli.
2.Wengine watapuuza kwenda kwa kuwa hawana uhakika wa kupata,na kuhofia hasara.
3.Wapo watakao kosa kufika kwa kuwa hawana taarifa kabisa.
4.Kuna wengine tayari wamepata kazi,hivyo hawatafika,kwa mf:mimi.
5.Kuna baadhi ya walioitwa,huenda ni wagonjwa kwa Sasa,na wengne pengine wameshafariki(msinielewe vibaya hapa)

Hivyo,tuwe na uhakika kwmba c chini ya watu elfu5 hawatafika(ni makadirio lakini)
Kwa uliye tayari kwenda,nakusihi usikose kufika,huwezi jua Mungu amekusdia nini kwako kupitia hili.

dah upo juu mkuu. Apo wataenda cdhan kama elfu nne wanafika
 
Watakao tupiliwa mbali waje usalama wa Taifa waje wanione nione namna ya kuwauplift.
 
Ndugu zangu, hali ya ajira nchini ni mbaya sana. Idara ya Uhamiaji imetangaza nafasi za kazi 70 kwa wahitimu wenye shahada moja na kuendelea. Matokeo yake, baada ya mchujo wa majina zaidi ya 20,000; uongozi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, umepitisha majina ya waombaji 10,800 ili washindanie hizo nafasi 70.



NB:
List kamili HII HAPA

Hii inatisha na ni hatari na washauri vigezo vya zoezi hii waviweke wazi mapema zaidi ikiwa pamoja na kuweka angalizo kwenye maeneo ya ziada yatakayozingatiwa na timu ya Mchujo ilikuondoa migogoro na suala la Upendeleo.

Labda la ziada zoezi la Mchujo lirekodiwe ilikuleta ufanisi pale maamuzi ya nani ni Bora kuliko mwombaji mwingine itakapoleta mgongano wa kimtazamo kati Watahini na kwa Idadi kubwa kama hiyo ni vigumu Watahini kuwa na kumbukumbu ya kila Mtahiniwa,hivyo rejea itasaidia kufikia maamuzi mazuri na kupata Watendaji wazuri.
10,800-70= 10,730 wasio hitahika hii si kazi ndogo.
 
Back
Top Bottom