Recent content by cafolola

  1. C

    Waafrika tunawazidi Waarabu kwa mbali sana ila ajabu sisi ndio tunawahusudu wao zaidi!

    Inasemekana uundaji wa Mapiramid ni Teknolojia adimu sana chini ya Jua.
  2. C

    Nina gagaziko la uelewa wa sheria na kanuni za mpira wa miguu. Naomba ufafanuzi kwa mwenye uelewa

    Sio kwamba mnarudia baada ya wachezaji wa timu zote kupiga? Napa ni tofauti kidogo. Timu moja wachezaji wote 9 wamepiga wakati timu nyingine Ina wachezaji wawili hawajapiga. Hii imekaaje?
  3. C

    Nina gagaziko la uelewa wa sheria na kanuni za mpira wa miguu. Naomba ufafanuzi kwa mwenye uelewa

    Duh! Makocha wa timu zote au wa timu yenye wachezaji pungufu?
  4. C

    Nina gagaziko la uelewa wa sheria na kanuni za mpira wa miguu. Naomba ufafanuzi kwa mwenye uelewa

    Ikitokea Timu X na Timu Y zinacheza fainali ya maamuzi ya mpira wa miguu. Mpira ukachezwa kwa dakika 120 ngoma droo. Lakini Timu X iko pungufu baada ya wachezaji wake wawili kutolewa nje kwa kadi nyekunda ndani ya dakika 90 za mchezo. Timu zimekwenda kwenye mikwaju ya penati na Timu zote...
  5. C

    Nape alichoongea ni ukweli mchungu; atabaki kuwa shujaa daima

    Mnapofurahia Teuzi msherehekee pia Tenguzi. Aliyeteua katengua. Shida iko wapi jirani?
  6. C

    Simba kukipiga na El-Qanah ya Misri, Mechi ya kwanza kirafiki hapo kesho 22.07.2024

    Sio mbaya, Ila mechi ya pili wakipige japo na Pyramid
  7. C

    Nikija kuwa na familia kuna vitu sintoruhusu

    Utashi wako uheshimiwe
  8. C

    PreGE2025 Afadhali Ibaki kuwa ndoto tu na isiwe kweli! 2025, January Makamba kuwa Makamu wa Rais, hatimaye kuwa Rais?

    Cheo ulichokitaja ni cheo cha ki-taasisi. Yeyote anaweza kuwekwa na aka fit. Kunda watu wa kada tofauti tofauti wanakuwa nyuma yake. Sio rahisi afanye uwazavyo.
  9. C

    Binti amkataa Baba mlezi siku ya Harusi, ampa heshima zaidi Baba mzazi.

    Haja Sio kitu kizuri alichokifanya huyo binti. Waswahili husema Kuzaa sio kazi -Kazi kulea.
Back
Top Bottom