Recent content by cabsul3

  1. cabsul3

    Wafanyakazi waliosambaza Video ya Dr. Slaa akiingia chumbani Serena Hotel wafukuzwa kazi

    Tafadhal naomba nifaham mkataba wanaosainishwa wafanyakaz ktk hotel hio.. Ili iliwa kuna ukandamizaji wakuu wa hotel wawe na sehem ya kujibu .. Kama itakua ni vipo vya utunzaji wa siri na kutotumika basi wahusika nao wawenalakujibu .. Yote ytapatikana iwapo tukiwa na mktaba wanaoingia...
  2. cabsul3

    Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA kutoka Katavi

    Hahahaaaaaaa duuh tanzania kuna raha
  3. cabsul3

    TBC1 warudia tena press ya Dr. Slaa

    Wamelipia LOWASA NA SUMAYE HAWAKULIPIA...isitoshe cloudz wanavipind mida hii...ikiwa huna king'amuzi weka CD uangalie nyimbo tu
  4. cabsul3

    Maaskofu, wananchi ‘wamchanachana’ Slaa

    Wawekewe mdahalo tu Gwajima vs Slaa...full stop
  5. cabsul3

    Mwigamba: Baada ya Zitto ni Dr. Slaa

    Ni Kahoji wapi alichukua form ama kutangaza nia ykuawania urais ikiwa 2010 aliombwa agombee na haikua ridhaa yake...? Tuache ushabiki wakisiasa na vyama slaa alichongea kipo na lazima ukubali kua huo ni mwanzo wa kutoa ya moyon ikiwa CDM watamchafua huyu mzee anamengi zaid wamewekana...
  6. cabsul3

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    CCM ni chama mama kwake lowasa haikua raisi kwacho kumvua uanachama ikiwa akina sumaye na wengineo waliotajwa na Slaah... Lazima uelewe kua Lowasa na wengineo walioingia ndani ya chama walipaswa kujisafisha kabla ili watanzia tuwe na imani nao... Sisi ni vijana na niwatanzania ambao...
  7. cabsul3

    Dr. Slaa kuzungumza na Vyombo vya Habari, Serena Hotel - Septemba 1, 2015

    Duuh hatimae Dr anaamua kuvunja ukimya.. Niombe kujua naweza ona mkutano huo live kwa mtandao???. Mungu ibariki tanzania ...
  8. cabsul3

    Raila Odinga atua Dar es salaam kumtembelea Magufuli kwa kificho kikali

    Wewe ndg uko poa sana utabr wako
  9. cabsul3

    Ni Dr Slaa vs Dr Magufuli October 25, 2015

    Taem Dr slah
  10. cabsul3

    CHADEMA asili mje tujadiliane, mliokuja na Lowassa piteni tu

    Swali zuri sana "kopo la chooni likikae sana chooni siku likisema limetaka kuja mezani kiwe kikombe cha chai itakuaje""?... So unamaana Lowasa tayari alikua CCM ni nikopo la chooni leo kaja mezani inakuaje vile??..
  11. cabsul3

    Katibu Mkuu wa CCM, Kinana - LIVE on Azam TV na Tido Mhando

    Kauropo kanahusika apa.....
  12. cabsul3

    IGP Mangu: Marufuku kuwa na Vikundi vya Ulinzi vya Vyama vya siasa kwani ni kinyume cha Katiba na Sheria ya nchi

    Samahani, naomba naomba data za uhakika za UGAIDI wa Changoja ili afanyiwe kazi kisheria...
Back
Top Bottom