safiiiii......na siku mtanzania akiijua haki yake atapigana kuliko vita ya rwanda na burundi.....ngoja tuone na umeme wetu wamechukua watanzania ni wakati wa kuamka sasa....!
Viongoz wote maboga haiwezekani umeme ucwepo cku tatu mfululizo.....tunaokula kupitia umeme sasa tukale wapi??? Dawa yenu kuwang'oa madarakani....na cku mtanzania akiijua haki yake tutapigana na kuuana kuliko ilivyokuwa rwanda na burundi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.