Recent content by bwinabuye

  1. B

    JamiiForums Tanzania Hatimae mh. Jenista Mhagama anena kuhusu ajira za walimu wapya

    Hili swala la ajira na waalimu linavyosemewa ni kama vile katuni ya tom na jerry,kwa sababu watakao cheka ni wengine na watakao lia ni wengine,kinachoumiza ni kuwa unasubiri kwa matumaini makubwa alafu mwisho wa siku jina halimo na hukuingia mkataba na ile shule waliokuwa wana kuhitaji sana,na...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Hatimae mh. Jenista Mhagama anena kuhusu ajira za walimu wapya

    Pokea like kwa sahihi hii It takes a real man to make a woman satisfied......kwa kiswahili ni ?
  3. B

    JamiiForums Tanzania Adhabu ya viboko kwa watoto wa kisiwani nursery school ni kali.

    mke wa former RCO mwz olomi alishamfuata mwl huyo kuhusu viboko visivyo na idadi kwa watoto.WAZAZI WATACHUKUA HATUA.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Adhabu ya viboko kwa watoto wa kisiwani nursery school ni kali.

    wenyewe wanamwita sir,kwa mwongozo wa movt ni kinyume kuchapa watoto wadogo wa awali viboko visivyo na idadi.IMULIKWE.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Adhabu ya viboko kwa watoto wa kisiwani nursery school ni kali.

    Ipo jijini mwanza eneo la muhandu,mbele ya machinjioni.kuna mwl wa kiume toka kenya anachapa watoto kama ana ua nyoka
  6. B

    JamiiForums Tanzania Joti wa ze komedi orijino-amtalaka demu wake baada ya kumfumania

    naomba kuuliza,ukikaa na binti kwa muda gani anakuwa mkeo?kuishi pamoja kwa miaka 5 mnapika na kupakua kama mke na mume,hiyo c o familia kimila?anyway alishamshika ugoni mara kadhaa,na yakaisha kifamilia,mpaka mama mzazi alikuja kuweka mambo sawa.cha msingi vijana wa dotcom wajue ndoa c...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Madawa ya kulevya: Rais Kikwete akutana na mawaziri, wakuu wa mahakama na polisi

    siku zote ukitaka kuruka agana na kiuno.Kwa Wenye akili wanatazama kama toleo jipya picha ya american ninja no 5
  8. B

    JamiiForums Tanzania Mustafa Mkulo atoka mbio kukwepa ghadhabu ya wananchi Dumila

    upara bila utekelezaji ni sawa na KOVU.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Serikali yachakachua matokeo ya kidato cha nne 2012 ili yaonekane mazuri

    Elimu bado inasafari ndefu sana je wakombozi ni wana siasa au wasomi ambao ndo wanasiasa?
  10. B

    JamiiForums Tanzania Uhamisho wa Wakurugenzi wa Wilaya

    tufahamishane
  11. B

    JamiiForums Tanzania Pembejeo zimechakachuliwa, chukueni hatua

    Ni wazi kuwa kuna mgogoro kati ya mkuu wa idara ndugu Waryoba na wana idara ya kilimo,watu hufungwa kwa matatizo ya kuchakachuliwa.Bahati ya waliokutwa na dhahama hiyo kesi imefutwa sawa lakini kuna bomu lingine linatengenezwa na huyu mkuu wa idara ambaye ni mtu wa ushirika. Anadai kuwa kilimo...
Back
Top Bottom