Pembejeo zimechakachuliwa, chukueni hatua

Pembejeo zimechakachuliwa, chukueni hatua

bwinabuye

Member
Joined
May 1, 2013
Posts
12
Reaction score
1
Ni wazi kuwa kuna mgogoro kati ya mkuu wa idara ndugu Waryoba na wana idara ya kilimo,watu hufungwa kwa matatizo ya kuchakachuliwa.Bahati ya waliokutwa na dhahama hiyo kesi imefutwa sawa lakini kuna bomu lingine linatengenezwa na huyu mkuu wa idara ambaye ni mtu wa ushirika.

Anadai kuwa kilimo kila mtu ana kijua hivyo basi hutaka mambo yaende anavyotaka yeye.Kifupi ana tuburuza na hata akikaimisha ofisi bado huongoza kwa simu.

Mgogoro wa kwanza DED ulikufikia kupitia kwa DSO LAKINI SASA KUNA MWINGINE UNAKUJA KWA SABABU WATU WA KILIMO HATUTAKUBALI KUJIINGIZA MATATIZONI KWA KULINDA RUSHWA ALIYOCHUKUA KUTOKA KWA MAWAKALA WA PEMBEJEO.

SINA NIA MBAYA NAYE ILA NI KIMEO KIUTENDAJI.

NAWASILISHA.
 
Ni wazi kuwa kuna mgogoro kati ya mkuu wa idara ndugu waryoba na wana idara ya kilimo.watu hufungwa kwa matatizo ya kuchakachuliwa.bahati ya waliokutwa na dhahama hiyo kesi imefutwa sawa.lakini kuna bomu lingine linatengenezwa na huyu mkuu wa idara ambaye ni mtu wa ushirika.anadai kuwa kilimo kila mtu ana kijua hivyo basi hutaka mambo yaende anavyotaka yeye.kifupi ana tuburuza.hata akikaimisha ofisi bado huongoza kwa simu.mgogorowa kwanza ded ulikufikia kupitia kwa dso LAKINI SASA KUNA MWINGINE UNKUJA KWA SABABU WATU WAKILIMO HATUTAKUBALI KUJIINGIZQ MATATIZONI KWA KULINDA RUSHWA ALIYOCHUKUA KUTOKA KWA MAWAKALA WA PEMBEJEO.CNA NIA MBAYA NAYE ILA NI KIMEO KIUTENDAJI.NAWASILISHA.
Mbona unaandika kama uko chini ya uvungu wa kitanda unatafutwa kuuliwa?Mtafute DSO labda anaweza kukusaidia,kama ikishindikana hata humu huwa wanapita hawa jamaa wataona,ukiona tafuta namba za Gazeti la Tanzania Daima uwapigie simu,kesho asubuhi ikitoka tu kwenye gazeti watakuja kulisuluhisha,ikishindikana kabisa mpigie kamanda Tundu Lissu kwa namba hii 0754447323,Msigwa 0754360996 kesho asubuhi utamuona DC anakuja ofisini kwenu.
 
Hacha majungu kama una ushaidi peleka PCCB, kwani jamiiforums watakusaidia nini? Andaa andiko la mbolea kuchakachuliwa mpelekee DED wako kama hauelewani na bosi wako au kama umeshindwa kaa kimya
 
Hacha majungu kama una ushaidi peleka PCCB, kwani jamiiforums watakusaidia nini? Andaa andiko la mbolea kuchakachuliwa mpelekee DED wako kama hauelewani na bosi wako au kama umeshindwa kaa kimya
Umeanza lini kuiamini PCCMB?
 
Back
Top Bottom