Recent content by Bwashekh

  1. B

    Kazi ya kujitolea

    Usigeuke ukisha fika kazini ukataka posho
  2. B

    Mhudumu wa stationery Anahitajika.

    Hakikisha kwenye email yako unayotuma inaonyesha pia sehemu unayoishi
  3. B

    Biashara ya kuuza na kununua unga majani ya Mlonge

    Mzee bei ipo chini hiyo yaani Ndogo. Mbegu za mlonge za kawaida tu mtaani zinauzwa kilo Sh.10,000/= bila mashart yoyote na Rangi mchanganyiko. Sasa unataka Rangi nyeusi tu halafu bei mbuzi. Panda dau watu wakuleteee mzigo
  4. B

    Mhudumu wa stationery Anahitajika.

    Offa inayotolewa na office ni chakula cha mchana
  5. B

    Mhudumu wa stationery Anahitajika.

    Mafiastar stationery iliyopo Magomeni Mapipa Dar es salaam inatangaza nafasi 1 ya kazi za secretariet kwenye stationery hiyo. Sifa za muombaji: 1.ELimu awe amehitimu kidato cha nne. 2. Awe Ana certificate ya secretariet/computer 3.Awe na speed kiasi au kubwa ya kutyping 4.Awe anaishi...
  6. B

    Nafasi za kazi kiwandani

    Nashukuru kwa walioenda hadi kiwandani kujionea wenyewe hali halisi, Ibravo na Larusai nawapongeza sana kwa kutoa ushuhuda wenu muliouona kiwandani. Mimi nilioleta uzi huu nimechukizwa sana na wana jf kwa kunita tapel baadhi yao Lusungo, Mtz Huru na Matendo Andre nataka mnambie utapeli wangu...
  7. B

    Nafasi za kazi kiwandani

    Nimeshamueleza swala hilo la email haziendi kasema wanazishughurikia na anasema email ya pili ambayo ni tony-chen@qq.com zinaenda, lakini sijajalibu. Pia hezo nafasi za technician 20 ni kwa mtu wowote aliyesoma fani yoyote ya techician wanamuhitaji watamfundisha kutumia mitambo yao na mashine...
  8. B

    Nafasi za kazi kiwandani

    Hawajawahi hata malamoja kutangaza nafasi za kazi kwenye nipashe hii mara ya kwanza usiwe mnafiki, waliwahi kutangaza kwenye CITIZEN mara moja tu walipoanzisha kiwanda,
  9. B

    Nafasi za kazi kiwandani

    je ww uliibiwa na hao jamaa au uliomwa hela?
  10. B

    Nafasi za kazi kiwandani

    Ww unaojita mtanzania huru naomba nitafute number zangu si nimetoa hapo. Acha kuropoka. Nunua gazeti la nipashe la leo tar 9/9/2014 then kawaulize nipashe kwamba nyinyi matapeli?
  11. B

    Nafasi za kazi kiwandani

    Nakuomba nunua gazeti la leo nipashe ukurasa wa 2 soma tangazo leo wamelitoa kwenye hilo gazeti usiropoke kwakua sim haipokelewi ipo bize. Au fika kiwandani huko vikindu ukaone mwenyewe
  12. B

    Nafasi za kazi kiwandani

    Nakuomba nunu gazeti la leo tar 9/9/2014 Nipashe usome tangazo. Usiropoke kusema utapeli fatilia kwanza
  13. B

    Nafasi za kazi kiwandani

    Gazeti la leo tar 9/9/2014 NIPASHE wamezitangaza hizo nafasi angalieni! Kama na nipashe wezi
Back
Top Bottom