Ww unaojita mtz huru, mie nakupa number yangu hii naomba nipigie 0713563101 nataka uje mageni mapipa uhakikishe bint niliyomuajiri kwenye statuonary yangu magomeni mapipa kwa macho yako, niliita watu 5 na waliokuja kwenye interview ni 3, mmoja aliyepata alama za kuridhisha ndo nimememchukua na ameshaanza kazi. Usiongee vitu vya uongo usivyovijua, pia ukija nitakupeleka hadi vikindu kwenye hicho kiwanda cha wachina waliotoa nafasi hizi, mie sifanyi kazi huko ispokua rafiki yangu mwaka 2012 tumemaliza chuo wote pale IFM ndo maneger huko vikindu kwenye hicho kiwanda cha wachina. Wacha kuropoka bila kufatilia. Naomba nitafute. Hili tangazo niliambiwa nisiliedit niliweke hivyo hivyo ili wanaohitaji kazi sio kuongea tu kama ww waende. Usiropoke ropoke tu mwizi nikuambie lazma mwisho wa siku lazma akuombe hela, sasa uliza waliokuja kwenye interview waliomwa hela? Utapata jibu. Halafu kitu chengine nikwambie cv sio siri katika kutafuta kazi.