- Thread starter
- #41
Acheni utapeli
Nakuomba nunua gazeti la leo nipashe ukurasa wa 2 soma tangazo leo wamelitoa kwenye hilo gazeti usiropoke kwakua sim haipokelewi ipo bize. Au fika kiwandani huko vikindu ukaone mwenyewe
Acheni utapeli
Kama co utapel nin mbona hampokei simu zenu? .au ndo mpo busy? Hahahaha
Nakuomba nunu gazeti la leo tar 9/9/2014 Nipashe usome tangazo. Usiropoke kusema utapeli fatilia kwanza
je ww uliibiwa na hao jamaa au uliomwa hela?Utapeli tu
Hawajawahi hata malamoja kutangaza nafasi za kazi kwenye nipashe hii mara ya kwanza usiwe mnafiki, waliwahi kutangaza kwenye CITIZEN mara moja tu walipoanzisha kiwanda,Gazeti hilo wanalitumia saaana hahahahaha
Swali zuri sana.Technicians wa fani zipi mkuu
je ww uliibiwa na hao jamaa au uliomwa hela?
Nimewahi kuwapigia nipashe cm kuwauliza ni vigezo gani ambavyo huwa wanavizingatia kabla ya kuweka tangazo? Hahahaha nilicheka saana kuona jamaa ananijibu hela yako tuu ukilipia unatangaziwa hata kama unaenda kuwanyonga wao haiwahusu kama huamini hilo gazeti lina namba za wahariri waandishi n.k waulize...OVER
Nimeshamueleza swala hilo la email haziendi kasema wanazishughurikia na anasema email ya pili ambayo ni tony-chen@qq.com zinaenda, lakini sijajalibu. Pia hezo nafasi za technician 20 ni kwa mtu wowote aliyesoma fani yoyote ya techician wanamuhitaji watamfundisha kutumia mitambo yao na mashine zao cha msingi kwamba awe ameshapitia mambo ya techician yoyote. Mwisho nasema mtu kama anaona utapeli asiende wala asitume cv. Mie sitajibu tena sms silipwi na hiyo kampuni. Nilileta uzi hapa basi mtu anayetaka afatilie mwenyewe.Na email zao sijui vipi yaan hata ukituma. Inafail tu yan had naona aibu mana tang juzi kuna mtu nmemwambia atume kila akituma inagoma yan had naonekana mzushi nikampm huyo mtoa mada anaedai meneja. Wa hapo n rafk ake kumuuliza mbna haisom email?nae yuko kimya yan vikampn vngne vya uchochoron hvi khaaa tabu tup!kkweli jf inaingiliwa sa hvi
Sio tatizo kijana,,tatizo ni pale unapomwita mtu kwa heshima na interview kubwa kumbe kazi zenyewe sio official,,ita vibarua ili mtu akija ajue,,sio kupotezeana muda.Haahaah watu wana vituko sana!!
Ishu iko hv mm ckujipa tab ya kutuma maombi via email bal niliamua kwenda moja kwa moja had hap kiwandan coz si mgen san wa maeneo ya Kisemvule na niliwasilian na huyo Bwashekh na akanielekeza kiwand kilip na nkafka.Kaz zip & malalamik yote mnayotoa ni kwel email ilikuwa inasumbua ila kuna email nyingine inafanya kaz,cm zinapokelew & ukiona haipokelew ujue manager anaongea na mgen & hat nlipofk nililiona hilo coz hakuw anapokea cm zaid ya kuongea nam & akanielez situation nzima hata malalamiko mnayotoa wadau wa hum.Ushaur wang tuache kulalam kuhus utapel unapotangaziw kaz,1st hujaambiw utoe pes wa uwek bond mal zak,kam kwel unahitaj kaz na unahof ya kutum nyarak zak ni vyem kwanz ukafany utafit wa mahal ilip kaz kwan hat Bwashekh ametoa maelekez ya kutosha kukuwezesh kufik hapo kiwandan.Kiwand ni kipya,malipo n hiar yak utaangalia kama itakidh hal yak kama la utasepa kwingneko.
Angalizo:Ile ni Manufacturing Industry.