Waacheni wanachadema wachague viongozi wao huko waliko msiwaingilie na mkaleta makundi ndani ya chama hata ccm walianza hivyohivyo kutoaminiana leo makundi yanawatafuna.
Kama kiongozi aliyepo anahofia mwanachama wakati huu wa uchaguzi basi kiongozi huyo hajiamini alikua wapi kabla ya uchaguzi...
kubeba magari matano tu yanapunguza msongamano,huu ni uhuni bora hicho kivuko apeleke kisorya to ukerewe kiwe kinapishana na kilichopo akuna mtu atatoka luchelele hadi kirumba kwa ferry na hiyo fery itakuwa na vituo vingapi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.