Ukweli ni kwamba jukwaa hili sasa linapoteza muelekeo. Jana Lowasa alikuwa uwanjani,na alikaa nyuma ya Mwamunyange......hiyo picha uliyoiita feki ndio orijino sasa. Lakini pia,tuache ushabiki wa kitoto,hivi nani kasema Rais atachaguliwa kwakukimbia au kusimama karibu na rais anayemaliza muda...
Jamaa maswali yako ni rojo sana.
Chama chochote kinachoamini katika Demokrasia,lazima kiwe na utaratibu sahihi wa kuwapata au kumpata mtu atakayekiongoza kusaka nafasi ya kuliongoza Taifa. CCM kama tahasisi hakiongozwi kwa mihemko,ama kwakukaa baa na kuombana kugombea. Hivyo sio ajabu watu...
UKAWA sio chama cha siasa,nje ya kudai katiba hakuna UKAWA,kuna CHADEMA,CUF na NCCR. Kikubwa ni kuvishauri vyama hivi jinsi ya kuanza siasa za nje ya UKAWA.
Hapa mkuu hujatumia akili kabisa. Juwa kuwa CCM haipo madarakani kwa mawazo ya mtu,ipo kwa wingi wa kura. WanaCCM na wananchi ndio watakao iweka ama kuiondoa CCM madarakani. Kuna mahali wengi mnashindwa kuelewa,ili chama kingine kishike hatamu,ni lazima kichaguliwe pia na wanaCCM kitu ambacho ni...
Kwanza tujiulize tofauti iliyopo kati ya uoga na unyonge. Rais angewaambia wana CCM waache uoga,hata mm ningepata wasiwasi,ila unyonge,sioni jambo la kutisha hapo. Mtu mnyonge huwa ana kiu ya haki,muoga ana kiu ya damu. Mnyonge halipi kisasi unyonge ukimuisha bali hufurahi kuipata haki...
Salama sana wana JF?. Nianze kwa kukiri kuwa nchi yetu ipo hapa ilipo kwa sababu tumependa iwe hapa. Nimemsikia Rais wangu,mtanzania mwenzangu,akilalamika kuhusu mambo mengi. Hivi karibuni nimemsikia akilalama juu ya ujangili,huku akiwa nje ya nchi. Rais wangu anawajua majangili,anamfahamu mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.