Recent content by Bwana Mkubwa9

  1. Bwana Mkubwa9

    JamiiForums Tanzania Kuwazidi mshahara kidogo tu kumenitengenezea maadui kazini.

    Kifupi unatuhadithia hapa unafanya kazi kikampuni cha uchochoroni. Kampuni kubwa ukishindwana mshahara na HR unapelekwa vipi kwa boss? boss ni nani? MD? CEO? GM? maana yake ulipelekwa kwa mwenye kampuni. Halafu kingine kampuni kubwa na za maana zina watu wengi mno na wamesoma vizuri kiasi kwamba...
  2. Bwana Mkubwa9

    JamiiForums Tanzania Kutoka Mahakamani: Sikubakwa na mshtakiwa nilitaka mwenyewe maana ni mpenzi wangu

    Rulling za mahakani zinategemea vifungu vya sheria sio busara,hekima wala mihemuko. Mwacheni apate nakala ya hukumu ndiyo aende kukata rufaa kule wanaangalia sana case scenario na uwezekano wa kupunguziwa adhabu upo.
  3. Bwana Mkubwa9

    JamiiForums Tanzania Kibaha Pwani: Kijana aua watoto wawili, naye auawa

    Umeelewa habari kweli? Familia iliyoshambuliwa ilikuwa imemuajiri huyo kijana? Alikuwa anafanya kazi jirani na hilo eneo.
  4. Bwana Mkubwa9

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa soft copy ya kitabu cha "Dunia uwanja wa fujo" by E.Kezilahabi

    Wakuu habarini za majukumu? Naamini mnaendelea kuchukua tahadhari katika kujikinga na janga linalotukabili sasa hivi la COVID-19. Mimi nimebisha hodi humu jukwaani kuwaomba mnisaidie soft copy ya kitabu cha profesa Euphrase Kezilahabi kiitwacho DUNIA UWANJA WA FUJO. Kwa mwenye nacho anaweza...
  5. Bwana Mkubwa9

    JamiiForums Tanzania Hiroo Onoda: Askari wa Kijapan aliyeendelea kupigana WW2 kwa miaka 29 baada ya vita kuisha

    Asante sana mkuu kwa msaada wako wa picha. Baadhi ya hizi picha hata mimi nilikuwa sina.
  6. Bwana Mkubwa9

    JamiiForums Tanzania Hiroo Onoda: Askari wa Kijapan aliyeendelea kupigana WW2 kwa miaka 29 baada ya vita kuisha

    Asante kwa mchango kaka. Baadhi ya wachangiaji wanaamini kuwa vitani askari anapigana muda wote. Kutokusalimu amri kwa kujificha ni kuwa vitani.
  7. Bwana Mkubwa9

    JamiiForums Tanzania Hiroo Onoda: Askari wa Kijapan aliyeendelea kupigana WW2 kwa miaka 29 baada ya vita kuisha

    Kuna mchangiaji ameweka picha kwenye replies chini. Samahani kwa kutoweka picha
  8. Bwana Mkubwa9

    JamiiForums Tanzania Hiroo Onoda: Askari wa Kijapan aliyeendelea kupigana WW2 kwa miaka 29 baada ya vita kuisha

    Kuwa vitani haulazimiki kuwa kwenye mapigano muda wote. Hawa maaskari wa Kijapan walioendelea kupigana baada ya vita ya pili ya dunia siyo kwamba muda wote walikuwa wanapigana. Muda mwingi waliutumia kujificha na kufanya mashambulizi ya kushtukiza kwa maaskari wa Kimarekani kabla hawajaondoka...
  9. Bwana Mkubwa9

    JamiiForums Tanzania Hiroo Onoda: Askari wa Kijapan aliyeendelea kupigana WW2 kwa miaka 29 baada ya vita kuisha

    Ni kweli kabisa mkuu. Risasi na silaha nyingine alizipata kwa kuwaua maaskari waliokuwa wanapita kufanya doria. Kwenye medani za kivita hata kama hupigani lakini ukiwa haujaripoti kwa waliokupa amri ya kupigana wakati vita imemalizika na hakuna taarifa za uhakika kuhusu kifo chako basi...
  10. Bwana Mkubwa9

    JamiiForums Tanzania Hiroo Onoda: Askari wa Kijapan aliyeendelea kupigana WW2 kwa miaka 29 baada ya vita kuisha

    Samahani sikukumbuka kuambatanisha picha lakini kuna mchangiaji naona ameweka picha kadhaa. Ni mara yangu ya kwanza kabisa kuweka bandiko humu JF ingawa si mgeni.
  11. Bwana Mkubwa9

    JamiiForums Tanzania Hiroo Onoda: Askari wa Kijapan aliyeendelea kupigana WW2 kwa miaka 29 baada ya vita kuisha

    Wakati mwaka 1944 ukiwa unaelekea tamati, hii ni baada ya miaka zaidi ya saba ya vita, mambo yalikuwa yanaiendea kombo Japan.⁣⁣⁣ Uchumi wake ulikuwa umeharibika vibaya, jeshi lake lilikuwa limetapakaa karibia kila kona ya Asia bila kuwa na mfumo thabiti wa kimawasiliano na mipaka iliyokuwa...
  12. Bwana Mkubwa9

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza ndani ya mwaka mmoja bila ajira

    "Usikurupukie biashara kama hauna information za kutosha na za uhakika" Hii ni kweli kabisa but the saddest truth is that information za uhakika kuhusu biashara fulani huwa zinapatikana field. Yaani ni vigumu sana kujifunza biashara kwa kuhadithiwa au kuhudhuria semina. Hizo huwa ni preliminary...
Back
Top Bottom